Reggae bado tishio

Reggae bado tishio

Manton

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,167
Reaction score
1,543
Sikiliza kazi yenye ujumbe mzito kwa jamii.
 
Wakati una absorb ujumbe unakuwa unanesanesa.
I second you
 
Reggae ilikua ni ya bob marley na lucky dube ndo mana mpaka wa leo hii ukigonga ngoma za bob lazima wadau tukuelewe, bob alicover kila aina ya maisha kwenye songs zake..
Ila kwa sasa hakuna mpuuz hata mmoja wa reggae nnaemkubali... Kwa mfano sasa hivi nyimbo za bob na lucky dube zote zifutwe nadhan ndo inakua reggae bye bye.
Hawa wapuuz cku iz wao wanaimba cjui ndo ragga , ni makelele mengi na milugha isiyoeleweka..
 
Kalikawe nae haumkubali
 
Kalikawe nae haumkubali
Kiukwel binafsi kalikawe simkubal , unajua kingine hapa bongo mziki wa reggae ni kama wanalazimisha tu, ndo mana miaka nenda rudi wataishia kuskia viredio vya mbao... Ila kiujumla reggae ukiiskiliza mistari yake ni khatareeeeee, mistari konzi, lazima uelewe.. Hebu kasikilize IT'S NOT EASY ya lucky dube usikie point na uhalisia wa maisha na somo alilotoa pale...
 
Reggae ilikua ni ya bob marley na lucky dube ndo mana mpaka wa leo hii ukigonga ngoma za bob lazima wadau tukuelewe, bob alicover kila aina ya maisha kwenye songs zake..
Ila kwa sasa hakuna mpuuz hata mmoja wa reggae nnaemkubali... Kwa mfano sasa hivi nyimbo za bob na lucky dube zote zifutwe nadhan ndo inakua reggae bye bye.
Hawa wapuuz cku iz wao wanaimba cjui ndo ragga , ni makelele mengi na milugha isiyoeleweka..

Wewe si mpenzi wa reggae itabidi ukubali hao unawajua sababu walipata shavu kubwa la media dunia nzima na sio kwamba ni wabovu lahasha wako vizuri ila kuna vichwa vingi sana ndani ya hii tasnia hata kuwataja ni uvivu.
 
Wewe si mpenzi wa reggae itabidi ukubali hao unawajua sababu walipata shavu kubwa la media dunia nzima na sio kwamba ni wabovu lahasha wako vizuri ila kuna vichwa vingi sana ndani ya hii tasnia hata kuwataja ni uvivu.
Mkuu mimi ni mpenz wa reggae ila na kwa bahati mbaya walionifanya niipende reggae ni hio ma-legendary wawili, so labda nimeathiriwa na hilo, ila binafsi naamin hakuna reggae bila bob au lucky dube...
Hebu nipe kidogo wasanii wachache wa reggae waliojificha na nyimbo zao nijaribu kudownload niskie.
Asante, natanguliza shukrani
 
It is not easy uwanikisikiliza najiona ni mimi mwenyewe maana aliyoyaimba ndo yaliyowahi kunitokea. It is not easy to understand it my son but
I hope you will make it and you will be happy again.
 
Reggae ni mziki wa maisha .bob steel anaishi kwenye maisha ya binadamu wanaojua mziki wa reggae.mapenz.siasa.ubaguzi.vita.amani.elimu vyote bob aliviimba nyimbo kama stir up.au lalaah lah ni nyimbo zinazozungumzia maisha ya binadam wa leo ata wakesho
 
B
Mkuu mimi ni mpenz wa reggae ila na kwa bahati mbaya walionifanya niipende reggae ni hio ma-legendary wawili, so labda nimeathiriwa na hilo, ila binafsi naamin hakuna reggae bila bob au lucky dube...
Hebu nipe kidogo wasanii wachache wa reggae waliojificha na nyimbo zao nijaribu kudownload niskie.
Asante, natanguliza shukrani

Burning Spears,Gregory Isaacs, Peter Tosh, Tanya Stephen, Jimmy Cliff, UB40, Alpha Blondy, Denis Brown na kama utapenda Sweet reggae kuna watu kama Morgan Hertage, Damian Marley( Nae ananyimbo nzuri zenye ujumbe, album yake ya Welcome to Jamrock iko vizuri sana.kama baba yake kwa jumla familia nzima ya watoto wako vizuri)
 
B


Burning Spears,Gregory Isaacs, Peter Tosh, Tanya Stephen, Jimmy Cliff, UB40, Alpha Blondy, Denis Brown na kama utapenda Sweet reggae kuna watu kama Morgan Hertage, Damian Marley( Nae ananyimbo nzuri zenye ujumbe, album yake ya Welcome to Jamrock iko vizuri sana.kama baba yake kwa jumla familia nzima ya watoto wako vizuri)
Asante sana bro.. Nitajitahid kupata rekodi chache niskize ...
 
Reggae ilikua ni ya bob marley na lucky dube ndo mana mpaka wa leo hii ukigonga ngoma za bob lazima wadau tukuelewe, bob alicover kila aina ya maisha kwenye songs zake..
Ila kwa sasa hakuna mpuuz hata mmoja wa reggae nnaemkubali... Kwa mfano sasa hivi nyimbo za bob na lucky dube zote zifutwe nadhan ndo inakua reggae bye bye.
Hawa wapuuz cku iz wao wanaimba cjui ndo ragga , ni makelele mengi na milugha isiyoeleweka..
Bado ujasikiliza Reggae my bredren/sistren nakushauri tafuta records za Studio One chini ya mtu aitwa Clement Coxsone Dodd, Lee "Scratch" Perry na wengineo. Wanamuziki kama Max Romeo,Wailing Souls, John Holt na wa sasa kama Chezidek, Richie Spice, Romain Virgo.
Huu mziki bado unaishi na utaendelea kuwepo. Unaeza kuta uliupenda kwa shinikizo la watu na ujafanya jitiada za kwako mwenyewe kuufatilia kiundani zaidi. Lakini ujachelewa kupata "more teachings".
 
Back
Top Bottom