Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,303
Kuna wakali wengi wa Reggae. Mie nampenda zaidi Peter Tosh na Burning Spear....
Bunny livingstone
Kuna wakali wengi wa Reggae. Mie nampenda zaidi Peter Tosh na Burning Spear....
mkuu wasikilize culture na song zao kama BLACK STAR LINE,RIVERSIDE,I TRIED,SATAN COMPANY,MR SLUGGARD,PAYDAY,POVERTY,HUMBLE AFRICAN,SLAVE DRIVER,OUTCAST,INTERNATIONAL HERB,BURNING,I LOVE JAH,ALMAGIDEON,BEHOLD,JAH RASTA FARAI,CHRISTOPHER COLUMBUS,TRIBAL WAR,PEACE LOVE AND HARMONY,BE HONESTY,ONE STONE,WHY YOU WORRY ABOUT THEM,NO NIGHT IN ZION,MR MUSIC na nyingine kibao,ila jitahidi uisikilize hiyo misumari mkuu,hawa jamaa mimi nawasikiliza kama chakula yaani nimekuwa muathirika wa muziki wao,ndinga yangu huwa sisikilizi muziki mwingine zaidi ya ngoma za hawa wakali wa all time kwangu,jaribu kuutafuta muziki wao..Mkuu mimi ni mpenz wa reggae ila na kwa bahati mbaya walionifanya niipende reggae ni hio ma-legendary wawili, so labda nimeathiriwa na hilo, ila binafsi naamin hakuna reggae bila bob au lucky dube...
Hebu nipe kidogo wasanii wachache wa reggae waliojificha na nyimbo zao nijaribu kudownload niskie.
Asante, natanguliza shukrani