Interest
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 3,434
- 7,055
Nimeshangaa kusikia Radio One bado inaendelea na kipindi cha matangazo ya vifo hadi leo.. Kipindi kilichoanza zaidi ya miaka 20 iliyopita..
Naambiwa hii ilianza na Radio Tanzania (sasa TBC) enzi hizo na ilisaidia sana kufikisha taarifa za misiba kwa walio mbali..
Kiukweli sioni tija yake. Labda mnieleweshe.. Kwa zamani sawa inaeleweka sekta ya mawasiliano na usambazaji taarifa ulitegemea zaidi radio na barua za mkono kwa mkono.. Lakini zama hizi?
Ningeelewa kama redio hizi zingeboresha kipindi hicho kwa kukaribisha ndugu, jamaa na marafiki kuenzi wapendwa wao kama kumbukumbu (death anniversaries)..
Au ndio old is gold? Pengine ni culture ya redio hizi kongwe inatunzwa idumu?
Naambiwa hii ilianza na Radio Tanzania (sasa TBC) enzi hizo na ilisaidia sana kufikisha taarifa za misiba kwa walio mbali..
Kiukweli sioni tija yake. Labda mnieleweshe.. Kwa zamani sawa inaeleweka sekta ya mawasiliano na usambazaji taarifa ulitegemea zaidi radio na barua za mkono kwa mkono.. Lakini zama hizi?
Ningeelewa kama redio hizi zingeboresha kipindi hicho kwa kukaribisha ndugu, jamaa na marafiki kuenzi wapendwa wao kama kumbukumbu (death anniversaries)..
Au ndio old is gold? Pengine ni culture ya redio hizi kongwe inatunzwa idumu?