Mangwea1900
JF-Expert Member
- May 29, 2025
- 2,485
- 3,229
- Thread starter
- #21
Je huu ni uungwanaJumapili RFA ilikuwa inavipindi bomba sana, sijui kwa sasa maana ni muda sijasikiliza. Halafu inawatangazaji wachache sanaa
Je huu ni uungwanaJumapili RFA ilikuwa inavipindi bomba sana, sijui kwa sasa maana ni muda sijasikiliza. Halafu inawatangazaji wachache sanaa
🤣🤣🤣 kuna watu huwa mnamajibu mnasubiri tu uzi, sijui uliwaza nini ila nimecheka nikiwa msibani😡😡😡RFA ni marehemu anayetembea na sanda mtaani, kuna muda huwa anarudi kwenye kaburi...
Mimi mwenyewe huwa sielewi yaani ni ngumu kumkuta MTU kaacha ubunge then akawa na consistency nzuri ya kiamaisha zaidi kila uchaguzi utamkuta anapambana arudi bungeni .Sijui yale mafao ya ubunge yana chuma ulete
Pole yake ikibidi abinafsishe redio kama sio kuiuza ili na yeye abaki kuwa msikilizajiMimi mwenyewe huwa sielewi yaani ni ngumu kumkuta MTU kaacha ubunge then akawa na consistency nzuri ya kiamaisha zaidi kila uchaguzi utamkuta anapambana arudi bungeni .
Wanatamani hela nyingi Ila hawana mipango vision less
Ila nasikia Dialo mwaka 2015 alivyokuwa Ana -cover matangazo ya ccm hakulipwa alitoka 0-0 hii pia ilimsababishia kuanguka kiuchumi .
Kumbuka Ku-cover matangazo ya Ccm msimu wote wa kampeni kuna gharama aliingia na kuna baadhi ya matangazo alikuwa hayapokei .
Ina maana kukosa Ubunge since 2010 kutolipwa hela zake 2015
Yote hii ilichangia kuyumba
Mwaka 2021 nilimsikia akisema kuwa Rais wa awamu ya 5 hakuwa vizuri kichwani.
Ila mwenzake shigongo na yeye alikuwa anaadai Ila yeye walimwambia watampatia ubunge deni lake kitafidiwa kwa style hiyo
🤣🤣🤣 kuna watu huwa mnamajibu mnasubiri tu uzi, sijui uliwaza nini ila nimecheka nikiwa msibani😡😡😡
Watasema ulimuua marehemu🤣🤣🤣 kuna watu huwa mnamajibu mnasubiri tu uzi, sijui uliwaza nini ila nimecheka nikiwa msibani😡😡😡
Ofa nyingine kwa Shigongo ni kusoma chuo kikuu akitokea darasa la sabaMimi mwenyewe huwa sielewi yaani ni ngumu kumkuta MTU kaacha ubunge then akawa na consistency nzuri ya kiamaisha zaidi kila uchaguzi utamkuta anapambana arudi bungeni .
Wanatamani hela nyingi Ila hawana mipango vision less
Ila nasikia Dialo mwaka 2015 alivyokuwa Ana -cover matangazo ya ccm hakulipwa alitoka 0-0 hii pia ilimsababishia kuanguka kiuchumi .
Kumbuka Ku-cover matangazo ya Ccm msimu wote wa kampeni kuna gharama aliingia na kuna baadhi ya matangazo alikuwa hayapokei .
Ina maana kukosa Ubunge since 2010 kutolipwa hela zake 2015
Yote hii ilichangia kuyumba
Mwaka 2021 nilimsikia akisema kuwa Rais wa awamu ya 5 hakuwa vizuri kichwani.
Ila mwenzake shigongo na yeye alikuwa anaadai Ila yeye walimwambia watampatia ubunge deni lake kitafidiwa kwa style hiyo
😁😁😁Ofa nyingine kwa Shigongo ni kusoma chuo kikuu akitokea darasa la saba
Inasemekana wabunge wengi wanakuwa na mikopo mikubwa hivyo pension yao ndo inakuwa dhamana kulipia hayo madeniMimi mwenyewe huwa sielewi yaani ni ngumu kumkuta MTU kaacha ubunge then akawa na consistency nzuri ya kiamaisha zaidi kila uchaguzi utamkuta anapambana arudi bungeni .
Wanatamani hela nyingi Ila hawana mipango vision less
Ila nasikia Dialo mwaka 2015 alivyokuwa Ana -cover matangazo ya ccm hakulipwa alitoka 0-0 hii pia ilimsababishia kuanguka kiuchumi .
Kumbuka Ku-cover matangazo ya Ccm msimu wote wa kampeni kuna gharama aliingia na kuna baadhi ya matangazo alikuwa hayapokei .
Ina maana kukosa Ubunge since 2010 kutolipwa hela zake 2015
Yote hii ilichangia kuyumba
Mwaka 2021 nilimsikia akisema kuwa Rais wa awamu ya 5 hakuwa vizuri kichwani.
Ila mwenzake shigongo na yeye alikuwa anaadai Ila yeye walimwambia watampatia ubunge deni lake kitafidiwa kwa style hiyo
Inapumulia mashine leo imeenda gerejiHivi bado ipo?
Baada ya ujio/ uwepo wa social media na online radio/tv , hizi main stream media zimepata ushindani mkubwa hivo kupoteza soko la wasikilizaji, ni ngumu sana mtu kutoa hela zake kuwekeza hukoPole yake ikibidi abinafsishe redio kama sio kuiuza ili na yeye abaki kuwa msikilizaji
Wanachukua mikopo ya Nini sasa wakati mshahara mnono na marupurupu kibwenaInasemekana wabunge wengi wanakuwa na mikopo mikubwa hivyo pension yao ndo inakuwa dhamana kulipia hayo madeni
Wanawekeza kwenye miradi mikubwa , hiyo mishahara minono na marupurupu ndo inawafanya wakopeshekeWanachukua mikopo ya Nini sasa wakati mshahara mnono na marupurupu kibwena
Miradi ambayo haina faida ndo maana wanapumulia mashineWanawekeza kwenye miradi mikubwa , hiyo mishahara minono na marupurupu ndo inawafanya wakopesheke
Ni kweli miradi mikubwa yenye nyashi kama mawe ya rock cityWanawekeza kwenye miradi mikubwa , hiyo mishahara minono na marupurupu ndo inawafanya wakopesheke
Kitambo sana, tangu mwaja juzi,alikimbia njaa kali , kwa sasa hapo RFA watangazaji hawafiki hata 10, yaani ni masikitiko matupujuzi nilisikia kama sauti ya Wambura Mtani Jambo Radio ya Kahama, nae kashamkimbia Diallo?