KyemanaMugaza
JF-Expert Member
- Jan 7, 2025
- 344
- 562
Hakika mkuu, ubunge bongo dili sana ndo maana watu wanautaka kwa kila njiaNi kweli miradi mikubwa yenye nyashi kama mawe ya rock city
Hakika mkuu, ubunge bongo dili sana ndo maana watu wanautaka kwa kila njiaNi kweli miradi mikubwa yenye nyashi kama mawe ya rock city
Na huzuniKitambo sana, tangu mwaja juzi,alikimbia njaa kali , kwa sasa hapo RFA watangazaji hawafiki hata 10, yaani ni masikitiko matupu
Ana laana kama siyo raana ya kumtukana marehemu jpm🤣Yupo wapi boss Dialo
Sana unakuwa peponi ya duniani unachezea chura hadi na tope lake ukifika bungeni unalala kidogo bila waliokuchagua kukuona.Aliyezuia mubashara wa bunge ana akili sana na awe na maisha marefuHakika mkuu, ubunge bongo dili sana ndo maana watu wanautaka kwa kila njia
Alishasamehewa na 4RAna laana kama siyo raana ya kumtukana marehemu jpm🤣
Wamemkomalia akina mwita maranyaMwenye radio alimtukana marehemi JPM lazima karma ifanye kazi yake.
Lakini anamadeni ya watangazaji walioshinda kesi ya madai ya malipo ya moshahara Yao.
Unasamehewa Duniani ila mbinguni bado inasoma 🤣Alishasamehewa na 4R
🤣🤣🤣 Tutatumia soraUmeme hakuna muelew
Anasema hafanyi ibada za masanamuUnasamehewa Duniani ila mbinguni bado inasoma 🤣
Mpaka aende Kwa kaburi la jpm
Solar🤣🤣🤣 Tutatumia sora
Aifate familia, unadhami mama na watoto walijisikiaje.Anasema hafanyi ibada za masanamu
Sawa! Hakuna maxSolar
Kwao kule umeme hakuna... Mkuu dar umeme hakuna🤣🤣🤣 Tutatumia sora
JeneretaKwao kule umeme hakuna... Mkuu dar umeme hakuna
Kifo cha mendeRadio yangu pendwa, vipindi vyangu pendwa Bolingo time Jumanne, Millenium Alhamis, BBC asubuh, magazeti na matukio asubuhi.
Inasikitisha kuona inaenda kufa kizembe 😓
Umeme Leo ni nchi nzimaJenereta