Redio free Africa haipatikani hewani

Redio free Africa haipatikani hewani

Hili redio sijaielewa pamoja na kuwa na vipindi vizuri. Cha ajabu hii redio kuna wakati haipatikani hewani hata masaa masaa mawili ukifungulia redio utasikia inafoka tu.

Kila saa nne asubuhi kuna kipindi cha "Sintosahau" lakini ndo muda hautaipata hewani.

TCRA, jumuiya za walaji na mamlaka zingine tusaidieni tusipate shida ya afya ya akili na redio, television na hata ving'amuzi vyenye kuongeza shida katika hisia na akili za walaji
Sikiliza mtandaoni
 
Imekuwa ikitoweka hewani maeneo mengi tu tena hata kwa siku kadhaa. Wenzao radio one nao ugonjwa huo umewakuta wa kutoweka hewani kwa muda mrefu wanaofuatia ni clouds, hizi ndizo redio za fm zinazosikika nchi nzima ila ndio zimekumbwa na sintofahamu kutoweka hewani
 
Back
Top Bottom