Mangwea1900
JF-Expert Member
- May 29, 2025
- 2,485
- 3,229
Hili redio sijaielewa pamoja na kuwa na vipindi vizuri. Cha ajabu hii redio kuna wakati haipatikani hewani hata masaa masaa mawili ukifungulia redio utasikia inafoka tu.
Kila saa nne asubuhi kuna kipindi cha "Sintosahau" lakini ndo muda hautaipata hewani.
TCRA, jumuiya za walaji na mamlaka zingine tusaidieni tusipate shida ya afya ya akili na redio, television na hata ving'amuzi vyenye kuongeza shida katika hisia na akili za walaji
Kila saa nne asubuhi kuna kipindi cha "Sintosahau" lakini ndo muda hautaipata hewani.
TCRA, jumuiya za walaji na mamlaka zingine tusaidieni tusipate shida ya afya ya akili na redio, television na hata ving'amuzi vyenye kuongeza shida katika hisia na akili za walaji