Redio Clouds na mambo ya kitoto

Ukitaka kuckiliza fyongo, utumbo, tune hii station, Ndo utajua kuwa ni ya Kihuni + Kitoto, maana nchi hii ina mambo mengi ya kujadili tena ya msingi ambayo hata hao watangazaji yanawagusa moja kwa moja, lakini sasa cha kushangaza wao wanakua mashabiki wa matatizo ya nchi hii utadhani wao wanatoka nchi jirani, JAMANI TUTAFIKA KWELI KWA STAILI HII MAANA NI MIAKA HAMSINI SASA YA UHURU. uwiiiiiiiiiii akh ya mungu!!!!
 
Kusikiliza au kutosikiliza ni hiari ya mtu, sasa kwa nini unaisikiliza kama huipendi wakati kuna radio kibao zenye mambo 'serious' utakayo wewe. Binafsi napenda jinsi yao ya utangazaji wa mzaha, ninapata message vizuri zaidi na kuburudika at the same time. Vipindi vya Power breakfast na Jahazi ni vizuri sana. Clouds Radio Oyeeeee..........:dance:
 
Kusikiliza au kutosikiliza ni hiari ya mtu, sasa kwa nini unaisikiliza kama huipendi wakati kuna radio kibao zenye mambo 'serious' utakayo wewe. Binafsi napenda jinsi yao ya utangazaji wa mzaha, ninapata message vizuri zaidi na kuburudika at the same time. Vipindi vya Power breakfast na Jahazi ni vizuri sana. Clouds Radio Oyeeeee..........:dance:
Join Date : 11th March 2006
Location : Kimara
Posts : 1
Thanks0Thanked 0 Times in 0 Posts

Rep Power : 0
wewe ulikuwa wapi siku zote au ulikuwa umejificha na osama nini baada y akukurupushwa nawe umetimka
 
Duh hii nimeipenda, yani member tangu 2006 then post ya 1 2011! Ila big up man kwa uwezo mkubwa wa kutunza pasword.
 
Redio clouds leo imedhirisha kwamba hipo kimzaamzaa kwa kuendekeza mambo ya kitoto yasiyokuwa na msingi wowote ususani ktk kumuendeleza mtanzania kifikra na kadhalika kiuchumi:

Tangu asubuhi wanajadiri kufungwa kwa Manchester united na Barcelona juzi kana kwamba hakuna mtu aliyeshuudia mechi hiyo. Yapo mambo mengi ya msingi ambayo yangeweza kujadiliwa na kuweza kuleta mabadiliko ktk jamii mfano:- Usafi wa jiji, mbinu mpya za ujasiliamalii, ajari za barabarani n
Hao akina Mhando na wenzie hayo mambo hawayaoni, wanabaki studio kuchekacheka na kubana pua kama machangudoa utafikiri kuna aliyewaahidi kuwapa Bia za bure kwa kushangilia Barcelona kwenye Studio.

Kwakweli sijafurahia mambo wanayoyafanya kupitia hii Redio, hakuna amabaye hakuna kwa jinsi Manchester ilivyofungwa na wala Clouds wakichonga sana Barcelona hawawezi kuwatambua bali nikukosa ubunifu wa kutumia Vyombo vya habari.


.


Ile ni CLOUDS FM ENTERTAINMENT hivyo sioni tatizo kubwa kwenye hilo.....kinachonoshangaza zaidi ni wewe ambaye unaboreka na redio hiyo lakini unai-tune na kusikiliza siku nzima ili uje kulalamika JF....... station zipo nyingi na lila moja ina namna ya kufurahisha stalke holders wake.
 
Redio clouds leo imedhirisha kwamba hipo kimzaamzaa kwa kuendekeza mambo ya kitoto yasiyokuwa na msingi wowote ususani ktk kumuendeleza mtanzania kifikra na kadhalika kiuchumi:

Tangu asubuhi wanajadiri kufungwa kwa Manchester united na Barcelona juzi kana kwamba hakuna mtu aliyeshuudia mechi hiyo. Yapo mambo mengi ya msingi ambayo yangeweza kujadiliwa na kuweza kuleta mabadiliko ktk jamii mfano:- Usafi wa jiji, mbinu mpya za ujasiliamalii, ajari za barabarani n.k,

Hao akina Mhando na wenzie hayo mambo hawayaoni, wanabaki studio kuchekacheka na kubana pua kama machangudoa utafikiri kuna aliyewaahidi kuwapa Bia za bure kwa kushangilia Barcelona kwenye Studio.

Kwakweli sijafurahia mambo wanayoyafanya kupitia hii Redio, hakuna amabaye hakuna kwa jinsi Manchester ilivyofungwa na wala Clouds wakichonga sana Barcelona hawawezi kuwatambua bali nikukosa ubunifu wa kutumia Vyombo vya habari.


.

inaonyesha we ni shabiki wa Manchester......imekula kwako..we ndo inabidi uwe mbunifu wa kuangalia mambo mengine mmbadala ya kufanya na uachane na lawama za kitoto..
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom