Kukumbushana mambo ya mipira kazini!!!!!!!, kama kweli na we unafanya hivyo basi unapata mshahala wa bure; itabidi uundiwe tume.
Redio clouds leo imedhirisha kwamba hipo kimzaamzaa kwa kuendekeza mambo ya kitoto yasiyokuwa na msingi wowote ususani ktk kumuendeleza mtanzania kifikra na kadhalika kiuchumi:
Tangu asubuhi wanajadiri kufungwa kwa Manchester united na Barcelona juzi kana kwamba hakuna mtu aliyeshuudia mechi hiyo. Yapo mambo mengi ya msingi ambayo yangeweza kujadiliwa na kuweza kuleta mabadiliko ktk jamii mfano:- Usafi wa jiji, mbinu mpya za ujasiliamalii, ajari za barabarani n.k,
Hao akina Mhando na wenzie hayo mambo hawayaoni, wanabaki studio kuchekacheka na kubana pua kama machangudoa utafikiri kuna aliyewaahidi kuwapa Bia za bure kwa kushangilia Barcelona kwenye Studio.
Kwakweli sijafurahia mambo wanayoyafanya kupitia hii Redio, hakuna amabaye hakuna kwa jinsi Manchester ilivyofungwa na wala Clouds wakichonga sana Barcelona hawawezi kuwatambua bali nikukosa ubunifu wa kutumia Vyombo vya habari.
.
Redio clouds leo imedhirisha kwamba hipo kimzaamzaa kwa kuendekeza mambo ya kitoto yasiyokuwa na msingi wowote ususani ktk kumuendeleza mtanzania kifikra na kadhalika kiuchumi:
Tangu asubuhi wanajadiri kufungwa kwa Manchester united na Barcelona juzi kana kwamba hakuna mtu aliyeshuudia mechi hiyo. Yapo mambo mengi ya msingi ambayo yangeweza kujadiliwa na kuweza kuleta mabadiliko ktk jamii mfano:- Usafi wa jiji, mbinu mpya za ujasiliamalii, ajari za barabarani n.k,
Hao akina Mhando na wenzie hayo mambo hawayaoni, wanabaki studio kuchekacheka na kubana pua kama machangudoa utafikiri kuna aliyewaahidi kuwapa Bia za bure kwa kushangilia Barcelona kwenye Studio.
Kwakweli sijafurahia mambo wanayoyafanya kupitia hii Redio, hakuna amabaye hakuna kwa jinsi Manchester ilivyofungwa na wala Clouds wakichonga sana Barcelona hawawezi kuwatambua bali nikukosa ubunifu wa kutumia Vyombo vya habari.
.
Redio clouds leo imedhirisha kwamba hipo kimzaamzaa kwa kuendekeza mambo ya kitoto yasiyokuwa na msingi wowote ususani ktk kumuendeleza mtanzania kifikra na kadhalika kiuchumi:
Tangu asubuhi wanajadiri kufungwa kwa Manchester united na Barcelona juzi kana kwamba hakuna mtu aliyeshuudia mechi hiyo. Yapo mambo mengi ya msingi ambayo yangeweza kujadiliwa na kuweza kuleta mabadiliko ktk jamii mfano:- Usafi wa jiji, mbinu mpya za ujasiliamalii, ajari za barabarani n.k,
Hao akina Mhando na wenzie hayo mambo hawayaoni, wanabaki studio kuchekacheka na kubana pua kama machangudoa utafikiri kuna aliyewaahidi kuwapa Bia za bure kwa kushangilia Barcelona kwenye Studio.
Kwakweli sijafurahia mambo wanayoyafanya kupitia hii Redio, hakuna amabaye hakuna kwa jinsi Manchester ilivyofungwa na wala Clouds wakichonga sana Barcelona hawawezi kuwatambua bali nikukosa ubunifu wa kutumia Vyombo vya habari.
.
Redio clouds leo imedhirisha kwamba hipo kimzaamzaa kwa kuendekeza mambo ya kitoto yasiyokuwa na msingi wowote ususani ktk kumuendeleza mtanzania kifikra na kadhalika kiuchumi:
Tangu asubuhi wanajadiri kufungwa kwa Manchester united na Barcelona juzi kana kwamba hakuna mtu aliyeshuudia mechi hiyo. Yapo mambo mengi ya msingi ambayo yangeweza kujadiliwa na kuweza kuleta mabadiliko ktk jamii mfano:- Usafi wa jiji, mbinu mpya za ujasiliamalii, ajari za barabarani n.k,
Hao akina Mhando na wenzie hayo mambo hawayaoni, wanabaki studio kuchekacheka na kubana pua kama machangudoa utafikiri kuna aliyewaahidi kuwapa Bia za bure kwa kushangilia Barcelona kwenye Studio.
Kwakweli sijafurahia mambo wanayoyafanya kupitia hii Redio, hakuna amabaye hakuna kwa jinsi Manchester ilivyofungwa na wala Clouds wakichonga sana Barcelona hawawezi kuwatambua bali nikukosa ubunifu wa kutumia Vyombo vya habari.
.
Huu ndio upeo wako wa juu kabisa kufikiri? hii ni hasara na mzigo kwa Taifa.sikilizeni redio za kiingeraza kama Choice fm na Kiss fm.watangazaji wake wanapiga kiingereza kwenda mbele.Hii itawasaidia ktk soko la Afrika mashariki.
kwa watz wengi kila siku wanaanza kazi kwa kupeana taarifa zilizotokea jana hata kama kwa njia ya utani wewe uko dunia gani, sababu yaelekea wafanyakazi katika mazingira ya kusimamiwa na kama si kwa wahindi basi msimamizi wako atakuwa mkenya maanake hao hawapendi hata dakika moja akuone umesiamama