Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Nawahurumia hawa Synovate watakuja kuaibika zaidi. Kuna ripoti kwamba wamewahi kufanya kazi (assignment) fulani -- ya kifisadi -- na kitengo cha Ikulu cha Salva. Hilo bomu linakuja maana walikuwa wanasubiriwa watoe hii. I pity them!!!
Nami niliwahi kusikia kitu kama hicho. Lakini kama kawaida hakuna chombo chochote cha dola kitashughulikia ufisadi huo ktk Ikulu.