Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,735
- 145,442
wengine unabidi kuwapotezea tu maana biblia inaniasa hivi 2 Timotheo 2:23 Walakini uyakatae maswali ya upumbavu yasiyo na elimu, ukijua ya kuwa huzaa ugomvi. Na pia 2 Timotheo 4:4 nao watajiepusha wasisikie yaliyo ya kweli, na kuzigeukia hadithi za uongo.
Perfect deus ex machina.
Ukishindwa ku argue, throw the towel in the name of hitting the high moral road.
Hujathibitisha kwamba mungu yupo.