Red moon: Total Lunar Eclipse

Red moon: Total Lunar Eclipse

wengine unabidi kuwapotezea tu maana biblia inaniasa hivi 2 Timotheo 2:23 Walakini uyakatae maswali ya upumbavu yasiyo na elimu, ukijua ya kuwa huzaa ugomvi. Na pia 2 Timotheo 4:4 nao watajiepusha wasisikie yaliyo ya kweli, na kuzigeukia hadithi za uongo.

Perfect deus ex machina.

Ukishindwa ku argue, throw the towel in the name of hitting the high moral road.

Hujathibitisha kwamba mungu yupo.
 
ilitabiriwa hivi
Joel 2:31 The sun shall be turned into darkness, and the moon into blood, before the great and terrible day of the LORD shall come.

"Kabla hata ya Yesu" inaishia.wakati gani?

Na kitabu cha Joel kiliandikwa wakati gani?

Bora mimi.nikiyeshindwa.maisha, wewe umeshindwa kufikiri.

Think before you spew dirt. The verse teyari is before Jesus, wewe unaenda mbele. Joel is prior Jesus, wewe unaenda baada ya Verse. HUJUI KUFIRI NI WEWE KAFIRI.

Why Jesus and not Muhammad?
 
You don't know a thing zaidi ya notions and dogma fallacies.

Mimi ninaye question uwepo wa mungu ulio dogmatic, na wewe unayenishutumu kwa kuuliza maswali magumu, nani anafuata dogma hapa?

Unafahamu maana ya dogma?
 
Mimi ninaye question uwepo wa mungu ulio dogmatic, na wewe unayenishutumu kwa kuuliza maswali magumu, nani anafuata dogma hapa?

Unafahamu maana ya dogma?

Una question Mungu ambaye hayupo. You must be insane. I mean how much low can you go? That is dogma fallacy.
 
Think before you spew dirt. The verse teyari is before Jesus, wewe unaenda mbele. Joel is prior Jesus, wewe unaenda baada ya Verse. HUJUI KUFIRI NI WEWE KAFIRI.

Why Jesus and not Muhammad?

Kabla ya Yesu ni mbele kivipi? Mbele ya wapi?

You ask me why Jesus and.not Muhammad, the prophecy was from the Bible and not Quran, Jesus is the yardstick of time in Christendom, even the years are measured by his birth.

Go grab a book and educate yourself.
 
Una question Mungu ambaye hayupo. You must be insane. I mean how much low can you go? That is dogma fallacy.

Nina question imani ya mungu ambaye hayupo.

Learn to think simpleton.

Kati yangu ninayequestion imani.na wewe unayeimeza nzima nzima na kujataa maswali nani anafuata dogma?

Thibitisha kqamba mungu yupo.
 
Thibitisha hilo.

Halafu thibitisha mungu yupo.

Unajizidishia mashtaka tu.

Kuna nyuzi moja niliwahi anzisha na huko ndiko ulipoandika hoja zako za u atheist though kuna post moja uliwahi dai kwamba you are working with the catholic church.
 
Kabla ya Yesu ni mbele kivipi? Mbele ya wapi?

You ask me why Jesus and.not Muhammad, the prophecy was from the Bible and not Quran, Jesus is the yardstick of time in Christendom, even the years are measured by his birth.

Go grab a book and educate yourself.

Si nilikwambie jifunze kufikiri wewe kafir. Joel Prophecy teyari ni before Jesus birth. Wewe unatumia na au unamtumia Yesu aliye zaliwa 630 years baadae. Huwezi tumia argument yako iliyo kosa mshiko. Huwezi sema whatever took place kabla ya Yesu huku uki-quote Joel ambaye teyari amesema hiyo aya 630 before Jesus. TUMIA AKILI UNAPO POST. SIO KILA MTU HAPA NI ZUZU KAMA WEWE.
 
Thibitisha hilo.

Halafu thibitisha mungu yupo.

Unajizidishia mashtaka tu.

Mungu sio kitu cha bei Raisi, eti kwasabau Mpinga Mungu kashindwa kumpata basi hayupo, sawa na yule MRUSI aliye sema Malaysia Airline MH370 haikuwai kuwepo, kisa haijapataikana. POOR REASONING KATIKA CENTURY HII.
 
Though Darwin is a dead man, but he left his teaching to this earth so as to lead astray people like Kiranga and many other atheists.

Nimekuuliza unipe ushahidi kwamba mimi ni mfuasi wa Darwin.

Hujanipa ushahidi.

Unaendelea kuleta uomgo tu hapa JF.
 
Last edited by a moderator:
Mungu sio kitu cha bei Raisi, eti kwasabau Mpinga Mungu kashindwa kumpata basi hayupo, sawa na yule MRUSI aliye sema Malaysia Airline MH370 haikuwai kuwepo, kisa haijapataikana. POOR REASONING KATIKA CENTURY HII.

kula like mkuu.
 
Nina question imani ya mungu ambaye hayupo.

Learn to think simpleton.

Kati yangu ninayequestion imani.na wewe unayeimeza nzima nzima na kujataa maswali nani anafuata dogma?

Thibitisha kqamba mungu yupo.

Nani kakwambia ni Imani? Au ndio zile zile notions zinakusumbua. Stop assuming when you post your malarkey.

Hebu lete ushaidi kusaidia madai yako ya "IMANI"
 
Kuna nyuzi moja niliwahi anzisha na huko ndiko ulipoandika hoja zako za u atheist though kuna post moja uliwahi dai kwamba you are working with the catholic church.

Weka hiyo nyuzi.

Sijawahi kusema I am working with the Catholic church.

What mushroom are you smoking?

Lazima.unanifananisha na mtu mwingine.

But then I would'nt put your feeble mind past regular hallucinations.

Weka link ya hiyo thread hapa, acha kuandikia mate wakati wino upo.

Hatutaki longolongo.
 
Si nilikwambie jifunze kufikiri wewe kafir. Joel Prophecy teyari ni before Jesus birth. Wewe unatumia na au unamtumia Yesu aliye zaliwa 630 years baadae. Huwezi tumia argument yako iliyo kosa mshiko. Huwezi sema whatever took place kabla ya Yesu huku uki-quote Joel ambaye teyari amesema hiyo aya 630 before Jesus. TUMIA AKILI UNAPO POST. SIO KILA MTU HAPA NI ZUZU KAMA WEWE.

Nimekuuliza "kabla ya Yesu" inaishia wapi?

Hujanijibu.
 
Nimekuuliza "kabla ya Yesu" inaishia wapi?

Hujanijibu.

Kumbe hujui? Inashia kwa Yesu. I just blew your fiendish brain.

Sasa unapinga nini kama teyari Prophecy ilisemwa mapema. Wewe unamtumia Yesu wa 630 baadae. Zimekamilika kichwani mwako wewe. Why using Jesus aliye zaliwa 630 years baadae. Hivi unaelea nini unasema au ndio non theists dismiss syndrome imeanza kufanya kazi.
 
Back
Top Bottom