Red moon: Total Lunar Eclipse

Red moon: Total Lunar Eclipse

Bora hata gazeti linaweza kukupa habari zinazoendelea duniani.

Maandiko yenu huku yanakwambia "haraka haraka haina baraka" huku yanakwambia "ngoja ngoja yaumiza matumbo".

Huku yanakwambia hakuna neema bila ya rehema ya mungu, huku yanaulaani mti mtini kwa kukosa kuzaa, kitu ambacho kinakuja kwa rehema ya mungu.

Don't get me started, I don't do it, I overdo it.
Matola mungu tulimpa masaa 24 animalize wiki ya tatu inaenda hii.

Hata mafua sijapata!

Na hata umpe nusu saa kamwe hatokufanya lolote coz hajaribiwi kiivyo ndugu.

Hata shetani alipomjaribu Yesu alitumia style kama yako "ikiwa" "basi" kama wewe mwana wa Mungu basi fanya hivi mara geuza jiwe kuwa mkate mara nikurushe malaika wakuokote.....
Yesu akamwambia usimjaribu Bwana Mungu wako.
 
Last edited by a moderator:
Anakupa nafasi bado ipo siku utarudi kundini na kumjua akikuua ukiwa hauja muamini haitasaidia kwani hapendi kondoo wake wapotee bali wawe na uzima tele.....

Hujajibu swali.

Anajaribiwaje?
 
Eclipses zimetokea kabla hata ya Yesu kuja.

Huu si utabiri, ni ujinga tu.
Teh teh, eti ujinga! wajinga ni wale wanaosema mioyoni mwao hakuna Mungu na nadhani tar yenu ndio imepita ambayo ni 1/4. teh
 
Teh teh, eti ujinga! wajinga ni wale wanaosema mioyoni mwao hakuna Mungu na nadhani tar yenu ndio imepita ambayo ni 1/4. teh

Thibitisha kwamba mungu yupo, kabla ya kuthibitisha hilo, huwezi kusema mtu anaye challenge uwepo wa mungu ni mjinga.

Na kama ni mjinga, basi wewe ni mjinga zaidi yake.

Kwa sababu umeshindwa kujibu challenge ya mjinga.
 
Thibitisha kwamba yupo kabla ya kurukia assumptions za hadithi kwamba ananipenda.

Na kwa nini anipende wakati mie simkubali?

Vipi kama sipendi kupendwa, hapo si atakuw ananitendea kinyume?
Hapo red, nitakuthibitishia endapo nawe utathibitisha kwanza kuwa hayupo. Na penye blue, hebu nawe lete hadithi zako za atheist wa ulaya sijui wewe umekaririshwa na nani hizo stori za Mungu hayupo, maana sina hakika kama ni idea uliyokuwa nayo tokea utotoni.
 
Na hata umpe nusu saa kamwe hatokufanya lolote coz hajaribiwi kiivyo ndugu.

Hata shetani alipomjaribu Yesu alitumia style kama yako "ikiwa" "basi" kama wewe mwana wa Mungu basi fanya hivi mara geuza jiwe kuwa mkate mara nikurushe malaika wakuokote.....
Yesu akamwambia usimjaribu Bwana Mungu wako.

Thibitisha kwamba yupo kabla ya makelele mengi.
 
Thibitisha kwamba yupo kabla ya makelele mengi.

Wewe mbona umeshindwa kuipata Malaysia Air.

Huna akili wee kwa kulazimisha eti kwasababu air Malaysia haionekani basi haijawai kuwepo. You are Sick to the core.
 
Thibitisha kwamba mungu yupo, kabla ya kuthibitisha hilo, huwezi kusema mtu anaye challenge uwepo wa mungu ni mjinga.

Na kama ni mjinga, basi wewe ni mjinga zaidi yake.

Kwa sababu umeshindwa kujibu challenge ya mjinga.

Una challenge kitu ambacho hakipo! Huo ndio Ujinga. Mjigana anapigana na upepo.
 
ilitabiriwa hivi
Joel 2:31 The sun shall be turned into darkness, and the moon into blood, before the great and terrible day of the LORD shall come.

Eclipses zimetokea kabla hata ya Yesu kuja.

Huu si utabiri, ni ujinga tu.

Kwani Kitabu cha Joel kiliandikwa wakati wa Yesu. Ndio maana unaonekana kituko kwa wanao fahamu na wenye ufahamu.

Jibu lako linaonyesha jinsi gani umejaa chuki kwa kushindwa maisha kule.
 
Hapo red, nitakuthibitishia endapo nawe utathibitisha kwanza kuwa hayupo. Na penye blue, hebu nawe lete hadithi zako za atheist wa ulaya sijui wewe umekaririshwa na nani hizo stori za Mungu hayupo, maana sina hakika kama ni idea uliyokuwa nayo tokea utotoni.

Visivyokuwapo havithibitishiki kwamba havipo, kwa sababu havipo.

Kama tunathibitisha fulani yupo kwa kuangalia fingerprint zake, kama hayupo hatuwezi kuwa na fingerprint kuthibitisha kwamba yupo/ hayupo.

Lakinu kama yupo tunaweza kupata fingerprints.

The burden of proof is on the side that says gid exists. The dissenting side has to only ask for proof.

Vilivyopo ndivyo vinathibutishwa kwamba vipo, kwa sababu vipo.

Thibitisha kwamba mungu yupo.
 
ilitabiriwa hivi
Joel 2:31 The sun shall be turned into darkness, and the moon into blood, before the great and terrible day of the LORD shall come.

Bora hata gazeti linaweza kukupa habari zinazoendelea duniani.

Maandiko yenu huku yanakwambia "haraka haraka haina baraka" huku yanakwambia "ngoja ngoja yaumiza matumbo".

Huku yanakwambia hakuna neema bila ya rehema ya mungu, huku yanaulaani mti mtini kwa kukosa kuzaa, kitu ambacho kinakuja kwa rehema ya mungu.

Don't get me started, I don't do it, I overdo it.
Matola mungu tulimpa masaa 24 animalize wiki ya tatu inaenda hii.

Hata mafua sijapata!

You don't know a thing zaidi ya notions and dogma fallacies.
 
kwa hiyo alivyotabiri yesu alichemka?

wengine unabidi kuwapotezea tu maana biblia inaniasa hivi 2 Timotheo 2:23 Walakini uyakatae maswali ya upumbavu yasiyo na elimu, ukijua ya kuwa huzaa ugomvi. Na pia 2 Timotheo 4:4 nao watajiepusha wasisikie yaliyo ya kweli, na kuzigeukia hadithi za uongo.
 
Visivyokuwapo havithibitishiki kwamba havipo, kwa sababu havipo.

Kama tunathibitisha fulani yupo kwa kuangalia fingerprint zake, kama hayupo hatuwezi kuwa na fingerprint kuthibitisha kwamba yupo/ hayupo.

Lakinu kama yupo tunaweza kupata fingerprints
.

The burden of proof is on the side that says gid exists. The dissenting side has to only ask for proof.

Vilivyopo ndivyo vinathibutishwa kwamba vipo, kwa sababu vipo.

Thibitisha kwamba mungu yupo.

Wewe wa ajabu sana, unauliza fingerprint ya Mungu ilihali uwepo wako tu duniani ni fingerprint tosha. Au unadhani wewe uliibuka, hahaaha ni wajinga tu ndio wawezao kusema waliibuka, maana ukiangalia huo mpangilio wa viungo vya mwili wako, inaakisi kuna fundi stadi alihusika katika uratibuji wa uwepo wa hivyo viungo. Fingerprint zingine ni pamoja na wanyama, miti, bahari na vitu vingine vingi.
 
Kwani Kitabu cha Joel kiliandikwa wakati wa Yesu. Ndio maana unaonekana kituko kwa wanao fahamu na wenye ufahamu.

Jibu lako linaonyesha jinsi gani umejaa chuki kwa kushindwa maisha kule.

"Kabla hata ya Yesu" inaishia.wakati gani?

Na kitabu cha Joel kiliandikwa wakati gani?

Bora mimi.nikiyeshindwa.maisha, wewe umeshindwa kufikiri.
 
Back
Top Bottom