Kapyepye Mfyambuzi
JF-Expert Member
- Jun 18, 2020
- 542
- 924
Itafute Movie moja inaitwa "BATTLE SHIP" Rihanna ndani, utakuja kusimulia mkuuMkuu huwa napenda sana movies zinazohusiana na mambo ya battleships, hasahasa vita za subMarines
Itafute Movie moja inaitwa "BATTLE SHIP" Rihanna ndani, utakuja kusimulia mkuuMkuu huwa napenda sana movies zinazohusiana na mambo ya battleships, hasahasa vita za subMarines
Lone survivor one of the best Movie I've ever seen.
Hiyo nishawahi kuiona mkuu, vipi kuna nyingine zaidi ya hiyo battleship na the last resort na the last ship?Itafute Movie moja inaitwa "BATTLE SHIP" Rihanna ndani, utakuja kusimulia mkuu
Water World, Deap blue sea, Ghost ship, Poseidon, Titanic & CaribbeanHiyo nishawahi kuiona mkuu, vipi kuna nyingine zaidi ya hiyo battleship na the last resort na the last ship?
Poseidon na water world tayari mkuu, hizo zingine wacha nizifuatilie, shukrani sana [emoji120]Water World, Deap blue sea, Ghost ship, Poseidon, Titanic & Caribbean
Hizo tu Kwanza zinakutosha, zitafute
Kwa nini?Sisi wa Freebasic ndio huu uzi hautuusu.
Ni Movie gani kati yahizo ambayo unaweza kuangalia ukiwa pamoja na familia yakoMate..
I'm giving you the list of some action movie..HardCore movies.
Watch them..Enjoy.
...Not Sci-Fi Movies or other Genre..
Naamza na hii familia ya Pitt na Jolie View attachment 1538348View attachment 1538349View attachment 1538351
Yes,mkuu ni ipi kati ya hizo hazina maudhui ya hovyo unaweza angali na familia
Thanks mkuuSalt, wonder woman,oldguard, mission impossible,london..angel .has fallen.
Salt ni kiboko yao[emoji7]Salt, wonder woman,oldguard, mission impossible,london..angel .has fallen.
Ollympus has fallen, lakini pia uwe unaangalia mwenyewe kabila ya kuileta kwenye familia maana tunatofautiana viwango vya maadili. Mf; mimi nyimbo nyingi za bongo fleva na muvi za kibongo siwezi kuangalia na familia, bora za kikorea na kichina.Yes,mkuu ni ipi kati ya hizo hazina maudhui ya hovyo unaweza angali na familia
Asante mkuu. ni kweli bongo movies nyingi zina maudhui magumu sana ,kiasi kama family head unajitambua huwezi kuziangalia.kitu nilicho amua ni kuacha kabisa kuangalia bongo movies.Ollympus has fallen, lakini pia uwe unaangalia mwenyewe kabila ya kuileta kwenye familia maana tunatofautiana viwango vya maadili. Mf; mimi nyimbo nyingi za bongo fleva na muvi za kibongo siwezi kuangalia na familia, bora za kikorea na kichina.
movie ni shidaa hiiHii movie ni balaaView attachment 1701086