"recipe" ya pilau

popular_afghani_dish_169.jpg
popular_afghani_dish_169.jpg
popular_afghani_dish_169.jpg
Qabeli%20Pilau%20-%20with%20chicken.JPG



aiseh! bado kidogo ning'ate screen!
 
Husn,
Naomba basi unifundishe kupika njegere za nazi!
maandalizi

-Chagua njegere mbichi,zioshe vizuri na ubandike jikoni zisiive sana kisha ipua.
-bandika suvuria au chungu weka mafuta na kitunguu
-kitunguu kikianza kuiva weka kitunguu saumu na
-weka nyanya kaanga hadi upate rosti
-weka njegere ponda ponda baadhi ya njegere kupata rojo
-weka nazi acha ichemke tuwi liive na ipua
 
maandalizi

-Chagua njegere mbichi,zioshe vizuri na ubandike jikoni zisiive sana kisha ipua.
-bandika suvuria au chungu weka mafuta na kitunguu
-kitunguu kikianza kuiva weka kitunguu saumu na
-weka nyanya kaanga hadi upate rosti
-weka njegere ponda ponda baadhi ya njegere kupata rojo
-weka nazi acha ichemke tuwi liive na ipua

Jamani FirstLady1.
Unaonekana fundi sana kwa mambo ya mahanjumati! Mr nyumbani anafaidi sana
 
maandalizi

-Chagua njegere mbichi,zioshe vizuri na ubandike jikoni zisiive sana kisha ipua.
-bandika suvuria au chungu weka mafuta na kitunguu
-kitunguu kikianza kuiva weka kitunguu saumu na
-weka nyanya kaanga hadi upate rosti
-weka njegere ponda ponda baadhi ya njegere kupata rojo
-weka nazi acha ichemke tuwi liive na ipua

Khaaaa............. andaa jmosi nakuja
 
yaani wewe kazi yako kusifia mademu wa watu tu, basi tafuta mumeo na wewe.
Mwita25, mbona unaangaika sana ndugu yangu, mbona unaujanja wa kizamani! Mimi kwangu JF ni furaha tu, mambo yenu Magamba na Magwanda kila mtu unataka kumletea wengine sisi hatuko huko. Poa Mwita25 endelea kumwaga nondo mkuu!
 
Unachukua mafuta unayakaanga then unachukua mdalasini unamimina kikaangoni. Baada ya hapo unachukua mpunga unachanganya na maji ya moto, hakikisha hutumii chumvi kama una presha. Then wakati mchele unakaribia kutoa rangi unachanganya na nyama ya mbuzi lakini hata ya bata fresh tu. Sasa pilau yako iko tayari kuliwa. Yafaa kuliwa na juice ya ukwaju au makomamanga utakavyopenda wewe mwenyewe
mkuu hii pilau yako nimeikubali sana imekaa kisela zaidi...thumb up kiongozi.
 
Back
Top Bottom