Mwita25
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 3,831
- 1,164
sio mahala pake hapa..
kwani una uhakika gani kuwa mleta mada alikuwa anamaanisha pilau chakula?
sio mahala pake hapa..
acha kujichanganya wewe ooh sijui kupika pilau ooh huyo kaka kakuingiza machakani.
Sasa nitaunganisha comments zote halafu naenda kulipika pilau, likiiva nitawaonyesha picha!
Husn,pilau lililoiva unalijua kwa kuliangalia?
maandaliziHusn,
Naomba basi unifundishe kupika njegere za nazi!
maandalizi
-Chagua njegere mbichi,zioshe vizuri na ubandike jikoni zisiive sana kisha ipua.
-bandika suvuria au chungu weka mafuta na kitunguu
-kitunguu kikianza kuiva weka kitunguu saumu na
-weka nyanya kaanga hadi upate rosti
-weka njegere ponda ponda baadhi ya njegere kupata rojo
-weka nazi acha ichemke tuwi liive na ipua
Jamani FirstLady1.
Unaonekana fundi sana kwa mambo ya mahanjumati! Mr nyumbani anafaidi sana
maandalizi
-Chagua njegere mbichi,zioshe vizuri na ubandike jikoni zisiive sana kisha ipua.
-bandika suvuria au chungu weka mafuta na kitunguu
-kitunguu kikianza kuiva weka kitunguu saumu na
-weka nyanya kaanga hadi upate rosti
-weka njegere ponda ponda baadhi ya njegere kupata rojo
-weka nazi acha ichemke tuwi liive na ipua
machalari na kiumbo hapa ndio mwake......hivyo vingine a a....
Daa Sigma umenitamanisha hii kazi itabidi nifanye jmos kwa raha zangu
Husn,
Naomba basi unifundishe kupika njegere za nazi!
Mwita25, mbona unaangaika sana ndugu yangu, mbona unaujanja wa kizamani! Mimi kwangu JF ni furaha tu, mambo yenu Magamba na Magwanda kila mtu unataka kumletea wengine sisi hatuko huko. Poa Mwita25 endelea kumwaga nondo mkuu!yaani wewe kazi yako kusifia mademu wa watu tu, basi tafuta mumeo na wewe.
Naomba mwaliko...Daa Sigma umenitamanisha hii kazi itabidi nifanye jmos kwa raha zangu
Halafu unaonja plate zima na paja la kuku....nitakuja kuonja.
mkuu hii pilau yako nimeikubali sana imekaa kisela zaidi...thumb up kiongozi.Unachukua mafuta unayakaanga then unachukua mdalasini unamimina kikaangoni. Baada ya hapo unachukua mpunga unachanganya na maji ya moto, hakikisha hutumii chumvi kama una presha. Then wakati mchele unakaribia kutoa rangi unachanganya na nyama ya mbuzi lakini hata ya bata fresh tu. Sasa pilau yako iko tayari kuliwa. Yafaa kuliwa na juice ya ukwaju au makomamanga utakavyopenda wewe mwenyewe