Chantaburi
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 749
- 194
Mkuu asante sana kwangu hiyo opera inafanya kazi vizuri tu natumia nokia e61i ila haiwezi kuingia Jamiiforums.
dah! Maujanja gan tena namm nipge! Help me plz! Am using n 73
mkuu me zote mbili zinaload tu but azifungui any wapsite or website
Tumia access point ya internet, mfano vodacom internet na sio voda wap au voda mms au voda web
Naongea hivo maana access point nyengine zina proxy server zinazofanya hizi tricks zisifanye kazi
Mkuu chief samahani kama ntakuwa off topic,ila hakuna opera mini handler inayoweza kudownload files zenye zaidi ya 100mb kwa kutumia vodacom trick? And kama ipo naomba link tafadhali,thanx in advance bratha
opera ya hivo ni symbian na kuna trick 2
trick ya kwanza
Naelezea short utatengeneza accesspoint utaeka proxy then download opera mini 12 ya symbian open hio opera (install kawaida bila trick) then kwenye adress andika 0.facebook.com itafunguka homepage ya proxy
trick ya 2
Zipo opera za symbian (opera 7) zimeshamodiwa kwa 0.facebook.com ila sema zipo unsigned kama simu yako haijahackiwa tumia trick ya kwanza forget ya 2 kama imehackiwa tell me nikupe link.
Kama sjaeleweka nambie nipost kirefu
opera ya hivo ni symbian na kuna trick 2
trick ya kwanza
Naelezea short utatengeneza accesspoint utaeka proxy then download opera mini 12 ya symbian open hio opera (install kawaida bila trick) then kwenye adress andika 0.facebook.com itafunguka homepage ya proxy
trick ya 2
Zipo opera za symbian (opera 7) zimeshamodiwa kwa 0.facebook.com ila sema zipo unsigned kama simu yako haijahackiwa tumia trick ya kwanza forget ya 2 kama imehackiwa tell me nikupe link.
Kama sjaeleweka nambie nipost kirefu
Iko hacked mkuu,naomba unipatie hiyo link ya opera 7
Hyo ya airtel au?
opera ya hivo ni symbian na kuna trick 2
trick ya kwanza
Naelezea short utatengeneza accesspoint utaeka proxy then download opera mini 12 ya symbian open hio opera (install kawaida bila trick) then kwenye adress andika 0.facebook.com itafunguka homepage ya proxy
trick ya 2
Zipo opera za symbian (opera 7) zimeshamodiwa kwa 0.facebook.com ila sema zipo unsigned kama simu yako haijahackiwa tumia trick ya kwanza forget ya 2 kama imehackiwa tell me nikupe link.
Kama sjaeleweka nambie nipost kirefu
Link hio hapo juu kaka
Tumia access point ya internet, mfano vodacom internet na sio voda wap au voda mms au voda web
Naongea hivo maana access point nyengine zina proxy server zinazofanya hizi tricks zisifanye kazi
yah dy/dx yupo right ukiwa na opera proxy zinakua ni server za opera either server4.operamini.com au mini5.opera-mini.net (bila http)
Opera=∫opera(free net)dx