thread critic
Member
- Jul 17, 2012
- 71
- 14
Naogopa kumtaja jina...
Lakini nashangaa sana kuona kimya cha huyu mheshimiwa ambaye ndiye REAL owner wa gazeti la mwanahalisi.
Imekuwaje au anajiandaa na mashambulizi mapya? Maana si kawaida yake huyu kuwa kimya hivi na hasa kwenye mambo ambayo ana interest nayo.
Kuna nini?
Lakini nashangaa sana kuona kimya cha huyu mheshimiwa ambaye ndiye REAL owner wa gazeti la mwanahalisi.
Imekuwaje au anajiandaa na mashambulizi mapya? Maana si kawaida yake huyu kuwa kimya hivi na hasa kwenye mambo ambayo ana interest nayo.
Kuna nini?