Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,100
- 5,182
Kovacic anaweza kuziba nafasi ya Casemiro vizur tu, tatizo litakuwa jinsi tu ya kuwacover CBs wetu.
MARCA wanasema marcelo angekua kishakula umemeNaona harufu ya red card upande wa madrid...hapa katikati tumezidiwa
Refa kamfavor kama ilivyokuwa katikati ya wiki hii. Kiufupi huyo casemiro amemaliza first half kimakosa.Zidane itabid amtoe Casemiro tu kwa kweli, hakuna jinsi, sioni akicheza dk nyingine 45 bila card, Hapo refa kamchukulia poa tu, ila kama akifanya tena faulo nyingine refa atulie.
ancelloti sku ile alifanya kosa kumwacha Vidal alijutia, nadhan leo Zidane ajifunze, amtoe dogo hakuna namnaZidane itabid amtoe Casemiro tu kwa kweli, hakuna jinsi, sioni akicheza dk nyingine 45 bila card, Hapo refa kamchukulia poa tu, ila kama akifanya tena faulo nyingine refa atulie.
and there you are kama kawaidaaRefa kamfavor kama ilivyokuwa katikati ya wiki hii. Kiufupi huyo casemiro amemaliza first half kimakosa.
Messi hapelekewi mipira,barca inahitaji reforms nyuma na katikati pamepwayaMessi yuko individual sana, tulitakiwa kukaba tuanzie mbele game yetu hii, lakini Cristiano ana preassure ya Bao, Bale pancha Benzema wenyewe sijui inakuwaje mpaka anakuwa kwenye first eleven kila siku, lazima watu kama Casemiro wapewe card.
Umeona alichowafanya lakini? Na huyo casemiro hilo jukumu mlilompa linaenda kuicost timu hii second half.Si bora yake je huyo messi hata assist hana
Naona mapovu yenu yoote unakuja kuyamwagia hukuUmeona alichowafanya lakini? Na huyo casemiro hilo jukumu mlilompa linaenda kuicost timu hii second half.
Messi hafanyiwagi marking na mtu mmoja kishamba vile.
casemiro kadi ya mapema ndio ime mcost hii siyo classico yake ya kwanza jamaaUmeona alichowafanya lakini? Na huyo casemiro hilo jukumu mlilompa linaenda kuicost timu hii second half.
Messi hafanyiwagi marking na mtu mmoja kishamba vile.
Majirani zetu hao washapata kichwa cha habaricasemiro kadi ya mapema ndio ime mcost hii siyo classico yake ya kwanza jamaa
Majirani zetu hao washapata kichwa cha habari