lkn Benzema hana ubaya huo ambao ume u amplifyPerez atuletee attackers wengine wa kupokea mipira inayokuja kutoka kwa Marcelo na viungo. Huyu Benzema ashaoza huyu. Vazquez game ilimzidi umri si unaona kina Kompany misuli mitupu. Kitu kingine Pepe Leo katilia Sana.
Mkuu, mimi ni kati ya watu wanaopenda vijana kama akina Lucas wapewe nafasi kwenye game kubwa kama hizi, ila kumbe saa nyingine experience ni muhimu zaidi!! Kijana game ilimzid umri kabisa., sema alijitahidi na akijituma sana kukaba, ila kushambulia hata kuji position tu ilikua kazi., Nilitamani sana Zizou angewapa James na Isco nafasi.. sema ndio hivyo alikua na Mipango yake. Hope tutamalizana na City next week mapema tu. #HalamadridUtaendelea tu kujua....uyu Lucas amecheza utumbo mipira yote anapoteza yeye na akipoteza tunashambuliwa good lucky tuna casemiro na Carvajal vinginevyo Leo tungekula za kukatisha tamaa .... Nasisitiza bado Dunian hakuna attacker wa Ku compare na Ronaldo yaan hata asipogusa mpira lakin awepo tu uwanjani kuna utofauti anauleta ....tazama Leo timu haina mwamko kabisa...Bale analilia nafas ya Ronaldo kapewa tazama errors ngapi kafanya ? Marcelo anapanda peke yake hakuna hata wa kupitisha macho kufuatilia mipira golini....kroos anapiga mipira Kati hakuna wa kuvizia......nasema bado utaona umuhimu wa Ronaldo
Mkuu, mimi ni kati ya watu wanaopenda vijana kama akina Lucas wapewe nafasi kwenye game kubwa kama hizi, ila kumbe saa nyingine experience ni muhimu zaidi!! Kijana game ilimzid umri kabisa., sema alijitahidi na akijituma sana kukaba, ila kushambulia hata kuji position tu ilikua kazi., Nilitamani sana Zizou angewapa James na Isco nafasi.. sema ndio hivyo alikua na Mipango yake. Hope tutamalizana na City next week mapema tu. #Halamadrid
Ni kweli man, 2nd half vijana walicheza mpira mwingi sana kati kati, tatizo lilikua kweny kushambulia., Marcelo anapanda na mpira kila akichungulia hakuna wa kumpa, mda mwingi walijikuta wanachelewa kufika kweny box ama wapo kati kati ya mabeki ya city. Na cha kufanya mambo yawe magumu zaid, Bale alikua anarudi kutafuta mpira, akipata huko mbele hakuna wa kumpa., ndio maana nilisema, ingekua poa sana kama Zidane angewaingiza James na Isco, hapo Bale angepata uhuru kule mbele.,Mimi bhana napenda Sana MTU Mwenye mentality ya Ku attack... Haiwezekani game nzima Joe Hart Ana relax....I am so much sure Ronaldo angekuwepo angemsumbua angalau....hata Kama asingefunga lakin angemchosha....Bado akina Lucas na Jesse wana mambo mengi ya kujifunza.....mechi imekua ngumu Sana lakin tulikua na uwezo wa kuwakalisha kwao....Anyways Win or Lose or Draw I am Madridista Forever
Hala Madrid
Ni kweli man, 2nd half vijana walicheza mpira mwingi sana kati kati, tatizo lilikua kweny kushambulia., Marcelo anapanda na mpira kila akichungulia hakuna wa kumpa, mda mwingi walijikuta wanachelewa kufika kweny box ama wapo kati kati ya mabeki ya city. Na cha kufanya mambo yawe magumu zaid, Bale alikua anarudi kutafuta mpira, akipata huko mbele hakuna wa kumpa., ndio maana nilisema, ingekua poa sana kama Zidane angewaingiza James na Isco, hapo Bale angepata uhuru kule mbele.,
Uwezekano wa RMA kuingia fainali uko 80% baada ya game ya jana. Hofu yangu ni kwa Pepe na Casimero, game ya marudiano ikiwa na pressure kubwa lazima watakula kadi zitakazo wanyima game ya fainali. Hatari sana hiyo
One great advantage of yesterday's result is, we can only focus on winning at the SB, and we don't have to stress about technicalities. Any victory will take us through.
And any draw (Excluding 0-0 score), it will be the end of the season.