Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid had 11 attempts whereas Manchester City had 4 attempts. We could win this game!
 
Isco comes on for Toni Kroos, who played a good match, orchestrating many of the team's attack. 89 minutes played.
 

FULL TIME: Manchester City 0-0 Real Madrid. #RMUCL #HalaMadrid


Cg_vZFPW0AAvxbA.jpg:large
 
A relatively positive result. Real Madrid could have walked away with the win had they finished their chances more clinically.
 
Sijawahi kujua ni kiasi gani tunamuhitaji Cristiano mpaka nilivyoshuhudia game ya leo.

And boy, Bale was awesome in the second half. I wish he stayed on his feet more.

Utaendelea tu kujua....uyu Lucas amecheza utumbo mipira yote anapoteza yeye na akipoteza tunashambuliwa good lucky tuna casemiro na Carvajal vinginevyo Leo tungekula za kukatisha tamaa .... Nasisitiza bado Dunian hakuna attacker wa Ku compare na Ronaldo yaan hata asipogusa mpira lakin awepo tu uwanjani kuna utofauti anauleta ....tazama Leo timu haina mwamko kabisa...Bale analilia nafas ya Ronaldo kapewa tazama errors ngapi kafanya ? Marcelo anapanda peke yake hakuna hata wa kupitisha macho kufuatilia mipira golini....kroos anapiga mipira Kati hakuna wa kuvizia......nasema bado utaona umuhimu wa Ronaldo
 
Utaendelea tu kujua....uyu Lucas amecheza utumbo mipira yote anapoteza yeye na akipoteza tunashambuliwa good lucky tuna casemiro na Carvajal vinginevyo Leo tungekula za kukatisha tamaa .... Nasisitiza bado Dunian hakuna attacker wa Ku compare na Ronaldo yaan hata asipogusa mpira lakin awepo tu uwanjani kuna utofauti anauleta ....tazama Leo timu haina mwamko kabisa...Bale analilia nafas ya Ronaldo kapewa tazama errors ngapi kafanya ? Marcelo anapanda peke yake hakuna hata wa kupitisha macho kufuatilia mipira golini....kroos anapiga mipira Kati hakuna wa kuvizia......nasema bado utaona umuhimu wa Ronaldo


Perez atuletee attackers wengine wa kupokea mipira inayokuja kutoka kwa Marcelo na viungo. Huyu Benzema ashaoza huyu. Vazquez game ilimzidi umri si unaona kina Kompany misuli mitupu. Kitu kingine Pepe Leo katilia Sana.
 
Back
Top Bottom