Hata EL CLASSICO. iliyopita madrd alicheza chini ya kiwango labda EL CLASSICO ya mwaka gani ilikuwa bora sana na ni kwa vigezo gani ulivyotumiaHii game nimeiangalia kwa umakini mkubwa sana. Barcelona wamecheza chini ya kiwango walichofanikiwa zaidi ni kumiliki mpira ila mashambulizi yalikuwa 0.Casemiro huyu jamaa sijui kwa nini Banitez alikuwa anamkalisha benchi. Kwa kifupi hii classico ndio mbovu kuwahi kuiona. Btw..
Hongereni kwa ushindi
Hii game nimeiangalia kwa umakini mkubwa sana. Barcelona wamecheza chini ya kiwango walichofanikiwa zaidi ni kumiliki mpira ila mashambulizi yalikuwa 0.Casemiro huyu jamaa sijui kwa nini Banitez alikuwa anamkalisha benchi. Kwa kifupi hii classico ndio mbovu kuwahi kuiona. Btw..
Hongereni kwa ushindi
Hahaha.. Mkuu nimeshindwa kualewa maamuzi ya Refa kwa kweli, haijulikani ni offside au ni foul!!Gareth Bale scores in onside but the referee disallows it. La Liga prepared for Real Madrid.
Hujielewi..#halla madrid....Hii game nimeiangalia kwa umakini mkubwa sana. Barcelona wamecheza chini ya kiwango walichofanikiwa zaidi ni kumiliki mpira ila mashambulizi yalikuwa 0.Casemiro huyu jamaa sijui kwa nini Banitez alikuwa anamkalisha benchi. Kwa kifupi hii classico ndio mbovu kuwahi kuiona. Btw..
Hongereni kwa ushindi
Hahaha.. Mkuu nimeshindwa kualewa maamuzi ya Refa kwa kweli, haijulikani ni offside au ni foul!!
Mkuu game ilikuwa slow sana. Naamini kwa uchezaji ule wachezaji wangeweza hata kucheza dk 180. Niambie ni mchezaji gani alieonyesha kuchoka. Wachezaji walikuwa wakikimbia wakati madrid wakiwa na mpira. Mmepata ushindi lakini game ilkuwa mbovu.Hata EL CLASSICO. iliyopita madrd alicheza chini ya kiwango labda EL CLASSICO ya mwaka gani ilikuwa bora sana na ni kwa vigezo gani ulivyotumia