Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Jamaa wamepaki vizuri hata kwenye box hatuingii, halafu wanapiga kiatu tu nakufanya mashambulizi ya kushtukiza. Na huyu Benzema leo hayupo kwenye game kabisa, akiendelea hivi second half aende bench tu
Sahihi kabisa....benzema leo hayupo mchezon...ronaldo kama jinsi yakujiposition akiingia kwenye box anakosea hv maana anakuwa kama anavizia beki afanye makosa badala yakumzidi beki akili
 
Hawa tumeshawapiga massage wamelainika muhimu hapa naona james afanywe sub aingizwe yule lucas...hapa mbele panahitaji amshaamsha kiaina...tunashindwa kutumia mipira inayofika kwao vzr....wanatakiwa wapate mtu ambaye atawakimbiza kwa uhakika kidgo...nafikir lucas anafaa.,,james leo had sa hv amekaa sana dimba la chini...sijaona akipanda kuleta madhara
 
HALF TIME: Roma 0-0 Real Madrid. #RMUCL #HalaMadrid

CbcYhV7W8AAwRsE.jpg
 
Hawa tumeshawapiga massage wamelainika muhimu hapa naona james afanywe sub aingizwe yule lucas...hapa mbele panahitaji amshaamsha kiaina...tunashindwa kutumia mipira inayofika kwao vzr....wanatakiwa wapate mtu ambaye atawakimbiza kwa uhakika kidgo...nafikir lucas anafaa.,,james leo had sa hv amekaa sana dimba la chini...sijaona akipanda kuleta madhara

Mi nahofia one mistake jamaa wanaweza kutuotea kamoja na hawa wanadefend timu nzima man kuchomoa itakuwa ngumu. Forward yetu yote leo ovyo, Benzema hayupo uwanjani 100% unaona anapewa pasi ndio anashtuka mpira ushampita, Ronaldo is just being Ronaldo, he's not together with the squad at all anasubiri apate chance afunge goli, James nae sijui vipi. Yaani pale inayoumia ni middle kwasababu tuna possession 66% na mpira wote unachezwa pale. Kiujumla sijaona hata mipira ya hatari golini kwao.
 
Mi nahofia one mistake jamaa wanaweza kutuotea kamoja na hawa wanadefend timu nzima man kuchomoa itakuwa ngumu. Forward yetu yote leo ovyo, Benzema hayupo uwanjani 100% unaona anapewa pasi ndio anashtuka mpira ushampita, Ronaldo is just being Ronaldo, he's not together with the squad at all anasubiri apate chance afunge goli, James nae sijui vipi. Yaani pale inayoumia ni middle kwasababu tuna possession 66% na mpira wote unachezwa pale. Kiujumla sijaona hata mipira ya hatari golini kwao.
Yah...hapa naona dalili ya mtu yoyte kufungwa tofaut ya goli moja
 
Mi nahofia one mistake jamaa wanaweza kutuotea kamoja na hawa wanadefend timu nzima man kuchomoa itakuwa ngumu. Forward yetu yote leo ovyo, Benzema hayupo uwanjani 100% unaona anapewa pasi ndio anashtuka mpira ushampita, Ronaldo is just being Ronaldo, he's not together with the squad at all anasubiri apate chance afunge goli, James nae sijui vipi. Yaani pale inayoumia ni middle kwasababu tuna possession 66% na mpira wote unachezwa pale. Kiujumla sijaona hata mipira ya hatari golini kwao.
sijawahi jua kwanini humuamnini Ronaldo?
 
sijawahi jua kwanini humuamnini Ronaldo?

The guy can score, lakini anapokuwa na mpira kutoa pasi is not his first option, matokeo akitoa pasi lazima iwe fyongo. He doesn't fight the ball back kwahiyo timu inakuwa kama imepungua
 
Back
Top Bottom