Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Huyu Jese atakaa bench mpaka atazeeka, siujui akipata mpira anatetemeka
 
We are not playing as good as we were before since the injury of Bale and Benzema and Isco sub
 
Benzema suffer from a knock in his ankle, not serious but more medical tests on tuesday.
 
Full Time: Real Madrid 5-1 Sporting (Gareth Bale 7'; Cristiano 9' 18'; Benzema 12' 41'; Isma López 62'). #RMLiga

CY78q7AWAAAjrjy.jpg
 
Nimeridhika na kiwango cha mechi ya leo..makosa madgo mdgo yakukosa umakini nakutopitisha mpira katika njia zake kwa wakat muafaka naimani yatarekebishwa...
 
Salamander embu toa tathimini ya second half. Naona kama jamaa(gijon) walibadilika sana.

Man umeona umuhimu wa Bale, Benzema na Isco in the first half. Kipindi cha pili, Cristiano hakucheza mpira, he was just desparate for Hat-Trick goal. Jese yule mpira hajui yupo Real Madrid basi tu level zake ni timu kama Liverpool au Arsenal huko. James naye kaingia kama hajaingia. Jamaa second half walikuja na piga kiatu win the ball na set piece zao zilikuwa maridadi. Modric pale kati na defence ndio imetusaidia sana tusipigwe goli nyingine. Kwa kifupi kipindi cha pili tumecheza Benitez style.
 
Nimeridhika na kiwango cha mechi ya leo..makosa madgo mdgo yakukosa umakini nakutopitisha mpira katika njia zake kwa wakat muafaka naimani yatarekebishwa...

Tall pale kuna watu watakalia bench mpika litawazoea. Mfano Jese ni kwa vile hatuna striker mwingine tu na James anatakiwa abadilike la sivyo watu watamlaumu Zizou, maana siku Casemiro akiingia badala ya Isco sijui kama atapata namba tena.
 
Note: Due to some discomfort for Benzema in the Ankle) and Bale in the Calf, Both will undergo medical tests on Tuesday.
 
Cristiano Ronaldo (6), Gareth Bale (9) & Karim Benzema (8) have scored 23 goals of Real Madrid’s last 24 goals in La Liga. [via @OptaJose]
 
Marcelo: "We have a clear message from the mister, which is keep the ball and play on the rival field."
 
Ancelotti required 5 games and Mourinho required 8 games to reach 10 goals with Real Madrid. Zidane has done it in 2 games.
 
Tall pale kuna watu watakalia bench mpika litawazoea. Mfano Jese ni kwa vile hatuna striker mwingine tu na James anatakiwa abadilike la sivyo watu watamlaumu Zizou, maana siku Casemiro akiingia badala ya Isco sijui kama atapata namba tena.
Ni kwel kabisa...yule jesse anacheza kama yule chalii wa mancity..sterling..yaan mbio ambazo hazina matunda..yule atolewe kwa mkopo...yule lucas apewe nafasi zaid kuliko jesse
 
Baada ya bale na benzema kutoka wale machalii ndo walipopata nafasi yakutushambulia maana mipira ikawa haikai mbele...ronaldo anajulikana hawez kaa na mpira yule
 
Back
Top Bottom