Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
- Thread starter
- #13,661
Zidane anamkubali isc9 kwa sababu ya mwili kunyambulika...isco ana udambuudambu flan hivi ambao ukikaa vibaya unaweza tenguliwa kiuno
Zizou anamfanisha Isco na yeye mwenyewe enzi zake. Yeye ndio kamleta Bernabéu