Msigazi Mkulu
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 4,186
- 3,418
Sorry for that, mkuuu
Hoja nzito kwa majibu mepesi mepesi, mchezaji kama huyo ambae ndo nguzo ya timu kujihusisha na ushoga unasema huo ni udaku? We kweli umevurugwa na mwaka huu mnatoka kapa, labda mbadili gia angani. Karibu Barca Mkuu!Kaka habari kama hizi unatuletea kwenye thread yetu? We're so much concerned with Copa Del Rey mkuu. Huu ni udaku huu
Seems like we're outta Copa. Well, it is what it is. Lesson learnt. Now, we gotta focus to turn this circus of a season around. We are Los Blancos.
We are out mzee. Ushahidi wote unaonyesha uzembe upo kwetu. Unless wenye mamlaka wa-twist mambo kuipa michuano hadhi. Bila Madrid watapoteza mkwanja mrefu sana na msisimko. But we fucked up, ndio maana sijaona official statement kutoka club.Tusubiri, tomorrow the official statement regarding copa will be released.
We are out mzee. Ushahidi wote unaonyesha uzembe upo kwetu. Unless wenye mamlaka wa-twist mambo kuipa michuano hadhi. Bila Madrid watapoteza mkwanja mrefu sana na msisimko. But we fucked up, ndio maana sijaona official statement kutoka club.
Halafu sasa walimtoa ili iweje sasa, kupunguza adhabu ama? Anyway, we can still turn all this around and laugh last.Kweli hii imekaa vibaya mkuu. But there is a rule saying that all bans and red cards are deleted after 3rd round. Sisi tumecheza mechi ya raundi ya 4. Japo kuna sehemu nimeona wanasema hii si kwa timu za La Liga, I'm just waiting for the official to say something. Tunapitia kwenye kipindi kigumu sana.
Hoja nzito kwa majibu mepesi mepesi, mchezaji kama huyo ambae ndo nguzo ya timu kujihusisha na ushoga unasema huo ni udaku? We kweli umevurugwa na mwaka huu mnatoka kapa, labda mbadili gia angani. Karibu Barca Mkuu!
Mwenye majibu mazuri ni Ronaldo mwenyewe na huyo Mmorocco sasa mambo ya social media ukija kuyauliza humu wakati hakuna hata ndugu yake ndo maana unapata majibu mepesi afterall hii ishu daily mail walishaiongelea but ilikuwa kwamba ronaldo anaponda sana raha hawakusema kuhusu ushoga
Florentino Perez anaitisha Press Conference saa moja na nusu usiku huu.