Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Cadiz manager is not even watching the game right now, he's on phone collecting info. [Canal+]
 
74'Goal by Isco (Cadiz 0 - 3 Real Madrid)

CVQQyevU8AA3yQQ.jpg
 
There is still a possibility that we'll not be eliminated.
 
usikute hata hujui tatizo nan??

u hate the man nothing more..... is he working alone?? man up dude

Mkuu yeye ndio manager, mwenye maamuzi ya mwisho anatakiwa awe aware na taarifa za wachezaji wake wote hasa hawa waliotoka timu nyingine, anatakiwa kufuatilia taarifa zao toka walikotoka kabla haja announce na kuwapanga kwenye squard, hii ilishawahi tokea kipindi cha Moyes wakati anakuja utd, Luis nani alikua na red card ambayo aliipata kipindi cha SAF lakini kabla hajampanga katika kufuatilia taarifa ndio ikajulikana jamaa ana red ikabidi asipangwe,
Sasa Rafa alishindwa nini?
 
usikute hata hujui tatizo nan??

u hate the man nothing more..... is he working alone?? man up dude

You just can't blame only one man for this! It's the whole management from President to everyone on the board. Shame.
 
FALSE ALARM: Mayoral's punishment from youth cup doesnt count in Copa del Rey as offence not deemed serious enough.
[via @dermotmcorrigan]
 
Cadiz crowd are humiliating Rafa, cheryshev and Real Madrid in their chants.

'Rafa See your twitter"


"Cheryshev cant play"


"Bye bye Real Madrid"
 
Mkuu yeye ndio manager, mwenye maamuzi ya mwisho anatakiwa awe aware na taarifa za wachezaji wake wote hasa hawa waliotoka timu nyingine, anatakiwa kufuatilia taarifa zao toka walikotoka kabla haja announce na kuwapanga kwenye squard, hii ilishawahi tokea kipindi cha Moyes wakati anakuja utd, Luis nani alikua na red card ambayo aliipata kipindi cha SAF lakini kabla hajampanga katika kufuatilia taarifa ndio ikajulikana jamaa ana red ikabidi asipangwe,
Sasa Rafa alishindwa nini?

mkuu management haiko km unavowaza wewe..... hii ni kazi ya jopo zima la ufundi... kumbuka kuna team analyst, kuna wa kutunza record usidhan RB aliamua yeye na mkewe hiko kikosi...

hii ni aibu ya uongozi wote wa madrid toka president mpk watunza vifaa..... subir uone fukuto lake baadae.... haya mambo hayaendeshwi km simba na yanga!!
 
Real Madrid's elimination is not official yet. Our officials will give their 100% to get out of this situation as there are some rules which supports Real Madrid.
 
Cadiz crowd are humiliating Rafa, cheryshev and Real Madrid in their chants.

'Rafa See your twitter"


"Cheryshev cant play"


"Bye bye Real Madrid"

Cadiz fans now singing "Benitez, send on
De Gea" according to franVergara94
 
Last edited by a moderator:
mwisho wa siku tunapata funzo kwamba madrid siku izi haina utamaduni unaoeleweka!!!

hawa OVERRATED & OVERHYPED galacticoz ni hovyo kabisa.....

nataman zirud enzi la RAUL
 

Full Time: Cadiz 1 - 3 Real Madrid (Marquez 88'; Cheryshev 3'; Isco 65', 74')
 

President of the C?diz: "These are things that happen in football. I look to my club & we'll make the best decision for C?diz. We'll meet."


We are probably not playing the 2nd LEG.
 
Isco: "We did our job in the field. Now the clubs have to reach an agreement. I hope there is a return game."
 

This is the SECOND time Benitez has lined up a player in Copa Del Rey who was suspended.

CVQPToSWIAAhq9T.jpg
 
Back
Top Bottom