Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread


The players return to training after yesterday's Las Palmas win at 11am this morning.
#RMCity

CStjZKNUwAA1-ut.jpg




 
Mkuu Salamander
Karibu tena. Sijui ulikuwa kwenye campaign za ccm au ulipotelea wapi..

Asante mkuu, mimi na siasa hatufanani kabisa. Mihangaiko ya maisha tu ndio ilikuwa inanifanya kushindwa kufuatilia football in deep. Nilikuwa nasikia matokeo ya mechi tu. Lakini sasa tuko pamoja mkuu.
 

Gareth Bale did individual work out on the training field in our first session ahead of Tuesday's match against PSG.

12193328_10150934310439953_8001117875042725879_n.jpg
 

David James (former England GK): "Keylor Navas is better than De Gea".



 

Pepe and Ramos are available for the match against PSG. [AS]

072615-SOCCER-ramos-and-pepe-celebrate-ahn-PI.vadapt.620.high.59.jpg
 
wazee tuacheni utani game la jana binafsi nilikereka sana,yaan PSG wanatupelekea moto nakututawala kama vile siyo nyumbani vile...afu mjomba ronaldo nae anazingua sana hakyanani...yeye ananyoonya mikono tu yakulaumu halayu akipewa pass hakuna anachofanya cha maana...hakyanani jana hata jezi nliona nzito mwilini...
 
Nilishasema CR7 anazingua wamtie bench kwanza atie akili...game ya jana sitaki hata kuiongelea kwa sababu luck was just on our side na goli lenyewe la luck vile vile ila nilichokipenda ni kuona Nacho anazidi kuimprove na pia tunahitaji sana mtu wa kukaa as a LB mpk hapo mreno atakaporudi
 
wazee tuacheni utani game la jana binafsi nilikereka sana,yaan PSG wanatupelekea moto nakututawala kama vile siyo nyumbani vile...afu mjomba ronaldo nae anazingua sana hakyanani...yeye ananyoonya mikono tu yakulaumu halayu akipewa pass hakuna anachofanya cha maana...hakyanani jana hata jezi nliona nzito mwilini...

Naanza kuuona mwisho wa Cristiano pale Real Madrid, maana achezi mpira kabisa ye saa zote ka-panick tu. Na wale wendawazimu wa Bernabeu hawawezi kumvumilia tena, subiri utasikia boooo next game. Mechi ya PSG hainiumizi sana kichwa, najua tunaweza kuwa na beaufull game than that. PSG walicheza sana mpira wakawa na possession 58% lakini hawakuweza kupanga mashambulizi au beki zetu zilifanya kazi nzuri. PSG had only 3 shots on target on the entire 90 minutes, while we had about 13 shots.
 

Laurent Blanc: "What Cristiano said to me was a compliment but I won't say what it was".

12189750_1095540340470725_7993913403838295678_n.jpg
 

Varane is really one of the finest and the fastest CB's on the planet. It took him only 11 seconds to run from the other goal to clear the Cavani ball!!!


11221637_1095528903805202_5297065675924730014_n.jpg




 

Keylor Navas with Real Madrid:


Games: 24

Minutes: 2,160

Clean Sheets: 16

Goals Against: 9

Mins per Goal: 240

Goals per Game: 0.38


[@RMadrid_Stats]

 
Back
Top Bottom