Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

sio mbaya pesa tuliyokua tunaitaka so far tumeshaipata, najua haikua rahisi kiivo kumchukua kama mlivokua mkidhania kwa € 25 mill

25 or 55, don't make no difference to Real Madrid. Our motto is *** with us you know we got it. We gon' flip that whatever amount spent on him twice, in just 2 years. Watch and learn.
 
And oh..United, keep baby seating our future boys Martial and Depay. We'll write you a check whenever they're ready.
 
sio mbaya pesa tuliyokua tunaitaka so far tumeshaipata, najua haikua rahisi kiivo kumchukua kama mlivokua mkidhania kwa € 25 mill

Don't get it wrong, kinachofanyika hapa sio ushindani kuchukuliana wachezaji kama unavyofikiria wewe. kama ni hivyo Real Madrid wangemlipa hela De Gea asisaini mkataba mpya na next season angekuja bure na Man U wasingepata kitu. Perez doesn't want to play it dirty...Ni biashara inayofanyika hapa, kwenye proffessional football hakuna mambo ya Simba na Yanga.
 
Perez anajaribu kurusha karata ya mwisho, hii option ingewekwa mapema De Gea angetua Madrid siku nyingi

Sahau Navas. Haji Uingereza kwa kujumlishwa na De Gea, Perez atalipa hela yoyote.
 
Don't get it wrong, kinachofanyika hapa sio ushindani kuchukuliana wachezaji kama unavyofikiria wewe. kama ni hivyo Real Madrid wangemlipa hela De Gea asisaini mkataba mpya na next season angekuja bure na Man U wasingepata kitu. Perez doesn't want to play it dirty...Ni biashara inayofanyika hapa, kwenye proffessional football hakuna mambo ya Simba na Yanga.

Ile €10 mill mliokua mmemuahidi ilikua ni ya nn?
 
Hahahhaha !!! Ila undugu wenu wa Kula vya wenzie, mmetunyima Ramos, Bale na Navas pia ahhh!!! Huu undugu siyo kabisa!!!!.....

Haha sio. Tuliwapa Di Maria mkamshindwa. Tuliwahi kuwapa ofa ya kikombe cha ulaya kipindi kile mmepata ajali + Puskas, ila siasa za FA zikawabania. We go way back.
 
CNvn_dpW8AUZBiy.png:large


CNvolEyWIAQZoKc.png:large


CNvnsbUWEAARANb.png:large

 
Sahau Navas. Haji Uingereza kwa kujumlishwa na De Gea, Perez atalipa hela yoyote.

Kama Perez alimuuza Ozil, Di Maria how ishindikane Navas .Sidhani kama Navas atakubali kubaki De Gea akifika kabla ya huu uamisho alikuwa na uhakika ndio kipa no 1,lets wait and see
 
Kama Perez alimuuza Ozil, Di Maria how ishindikane Navas .Sidhani kama Navas atakubali kubaki De Gea akifika kabla ya huu uamisho alikuwa na uhakika ndio kipa no 1,lets wait and see

Nadhani wameshapata jibu kufikia muda huu
 

AS is reporting that everything was ready but Real Madrid received documents from Manchester United too late.
Unusual stuff.
 
Back
Top Bottom