Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Lawama kwa Carlo zimekuwa too much,ni ngumu sana kwa hii Real Madrid ya sasa mchezaji kutoka Madrid academy akaingia kwenye first team kirahisi.Ukiacha Casilas na Raul sidhani kama mchezaji aliyeweza hata huyo Carvajal,Casemiro walipelekwa kwa mkopo kukawa na option ya kuwarudisha.Sometimes hawa big players wanaleta negative impact kwa wachezaji toka academy

No brother, Coach ana nafasi kubwa sana kwa mchezaji kutoboa. Kwa mfano, Carvajal ni Mourinho ndio alimkataa ikabidi apelekwe BuLi, ila watu wa Club walikuwa wanamkubali. Morata mpaka anaondoka alikuwa yuko first team tayari, ila nafasi alikuwa hapewi. Nacho na Jese pia wanalalamika, Club pia inalalamika kwanini Carlo alikuwa hafanyi rotations.

Carlo ndio responsible kwa kuondoka Morata, hii hata simsingizii. Dogo alisema yeye alichokuwa anataka ni kucheza hata dakika 20 tu kila game, sio dakika 10 kila baada ya game 3/4
 
Nakubaliana nawe kosa kubwa la Carlo ni kutofanya rotation but jinsi kulivyokuwa na pressure ni ngumu hao wachezaji wa academy kutoboa kwa sasa kwenye timu kubwa like Madrid,Barca,Manu,Chelsea hapo hata kocha awe nani dogo lazima angeondoka.Matic aliondoka Chelsea,Pogba na Pique waliondoka United,Thiago,Icardi wameondoka Barca.Hata kocha angekuwa nani Morata lazima angeondoka otherwise kama angekubali kukaa benchi.
 
Hao makocha wasipochukua ubingwa wanafukuzwa so na wao wanaangalia the best available players wa kuweza kuwapatia ushindi
 
Real Madrid won its 5th UCL in 1960.



11430270_1013314242026669_983940625579534055_n.jpg
 
I can't wait for the pre-season. Nafikiri hii ya mwaka huu tutafanya vizuri.

Yup yup! Tukianza pre-season ndio muda wa kukaa mbali na habari zozote za soka, especially mitandaoni. The madness is real during that time, rumors and bs all around. Ntakuwa naangalia tu official announcements.
 

Marca | Benzema will not leave Real Madrid next season.
 
Yup yup! Tukianza pre-season ndio muda wa kukaa mbali na habari zozote za soka, especially mitandaoni. The madness is real during that time, rumors and bs all around. Ntakuwa naangalia tu official announcements.

Ninachoona official Real Madrid wako kimya tu sasa, sijui tusubiri nini kinataka kutokea.
 

Chicharito: "Rafa Benítez will do a great job at Real".


-" I don't know where I'm going to play. It could be for one of those two clubs (United or Real) or for another. Ancelotti was my manager, but Rafa Benítez isn't and he doesn't need to speak to me because I was on loan from United ".


-" I'm pretty relaxed because, luckily, my last few months at Real Madrid went really well and I made my mark. That gave me a lot of confidence and security for the future. I think Rafa knows about me. He's a really good manager and I think he will do a great job at Real Madrid ".
 

ABC | 4-2-3-1 will be Madrid's new formation with Cristiano as ST, Benzema behind him as CAM, Bale as LW, James as RW and Kroos/Modric double pivots.


Cristiano will be CF with freedom to move as he pleases. Isco will be first option to either James or Benzema and Casemiro for Kroos/Luka.


- 4-4-2 will be Real Madrid's alternative formation with Cristiano and Benzema in front & Bale, Kroos, Modric & James in midfield.


Benitez wants to exploit Bale's skills in his natural position by moving him to LW. Benzema behind Cristiano to continue supplying back-up.

 

ABC | Bale playing in a natural position will give more confidence to his teammates. He's set himself a challenge to be decisive next season.


Bale's main problem was the position he was playing in this season. He wants to play on LW. He wants to be main character now.
 

Djaziri (Benzema's agent): "Benzema loves this club more than anything, He wants to retire at Real Madrid".
 

AS | Lucas Silva to be loaned out after the pre-season.
 

Fabio Coentrao on Facebook:

Fábio Coentrão

Contrariando rumores de que irei jogar no Sporting, e apesar do respeito que tenho pelos clubes portugueses, em Portugal só jogo no Benfica.

Contrary to rumors that I will play in the sporting, and despite the respect that I have by the Portuguese clubs, in Portugal I would only play for Benfica.







 
Back
Top Bottom