Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

“My biggest goal as a coach is to be unfair to as many players as possible. I’d love that when I announce the lineup every match day, I look at those who aren’t playing and feel like I’m being unfair to all of them, that they deserve to play and deserve much more. I already feel this way with many of them, and hopefully, my goal is to feel like I have 25 players, all of whom deserve to play and have the confidence to do what I ask of them. Hopefully, one day I’ll achieve that.”
 
Huyo ni kwenye press ya jana baada ya game yetu dhidi ya Atletico, jamaa anaonekana ana uelewa mkubwa sana wa wachezaji wake na namna anataka wawe, akipata support ya wachezaji wake, basi ana uwezekano mkubwa sana wa kufanya vizuri siku zijazo.
 
Huyo ni kwenye press ya jana baada ya game yetu dhidi ya Atletico, jamaa anaonekana ana uelewa mkubwa sana wa wachezaji wake na namna anataka wawe, akipata support ya wachezaji wake, basi ana uwezekano mkubwa sana wa kufanya vizuri siku zijazo.
"Ni kocha mzuri sana kwenye upande wa saikolojia ya kuandaa wachezaji, namshindia alama 100 kwa 100. Labda kwa sababu alitokea kufundisha watoto (timu ya vijana ya Madrid), ndiyo maana anawajua vizuri wachezaji na tabia zao.

Real Madrid ya sasa imechangamka; mchezaji anayepoteza mpira ndiye anakuwa wa kwanza kuanza kuzuia (counter-pressing). Hii mara ya mwisho niliiona timu ikiwa chini ya Zidane. Sasa hivi anatakiwa akomae pia kwenye upande wa mbinu (tactics), ikibidi akae na Zidane apate 'madini'. Zidane alikuwa fundi sana kwenye mabadiliko (subs); akifanya sub, ujue mpinzani amekwisha.
 
"Ni kocha mzuri sana kwenye upande wa saikolojia ya kuandaa wachezaji, namshindia alama 100 kwa 100. Labda kwa sababu alitokea kufundisha watoto (timu ya vijana ya Madrid), ndiyo maana anawajua vizuri wachezaji na tabia zao.

Real Madrid ya sasa imechangamka; mchezaji anayepoteza mpira ndiye anakuwa wa kwanza kuanza kuzuia (counter-pressing). Hii mara ya mwisho niliiona timu ikiwa chini ya Zidane. Sasa hivi anatakiwa akomae pia kwenye upande wa mbinu (tactics), ikibidi akae na Zidane apate 'madini'. Zidane alikuwa fundi sana kwenye mabadiliko (subs); akifanya sub, ujue mpinzani amekwisha.
Kidogo kidogo tu, hakuna aliyejua kuwa jamaa yupo hivi, so atakuwa anabadilika kadri muda unavyoenda,ukizingatie pia sub zake ni kama za utambulisho, so muda sio mrefu atakuwa na full squad fit kasoro Rodrygo tu, so atakuwa na uwanja mpana wakufanya mautundu!
 
Back
Top Bottom