SMARTER GHOST
JF-Expert Member
- May 22, 2021
- 345
- 1,500
Mmekamatwa kama kawaida yenu. Vinafuata vipigo mfululizo mpaka muite maji mma!
Hiki kipigo cha leo ni cha kujitakia kiukweli, Alonso ninaona bado hajisomi, Real Madrid sio team ya kujengwa ni team ya matokeo, asije kushangaa akitupiwa virago!!
Wale vijana wamemshinda nguvu, ukiniambia sabqbu ya kumwanzisha Alvaro Carreras badala ya Rudiger sielewi, anahangaika na akina Valverde waliochoka anamweka Camavinga bench, hata Ceballos angeweza kucheza vizuri kuliko Bellingham ila ndio hivyo hana uthubutu wa kuamua, ama kuna kupangiana team huko kama Bongo?Xabi Alonso hamna kocha humu yaani talent zote hizi anashindwa kuwa solid anapigwa 2 Bernabeu? Bure kabisa