Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

GOAL! Mbappe weaves his way past opponents & nets! Athletic Club 0-1 Real Madrid

1764851982325.gif
 
Hii line-up ya leo ni mzigo kwa Alonso, kiungo hakuna kitu, beki line ndio kabisaa hakuna jambo, wamempa Militao mzigo mkubwa mpka kaumia, Carreras tangu lini amekuwa beki wa kati? Unaona kabisa hayupo aware na majukumu yake, ni afadhali Tchouameni angecheza hiyo nafasi, ila hapa ni kutaka kujiumiza tu.
 
Hiki kipigo cha leo ni cha kujitakia kiukweli, Alonso ninaona bado hajisomi, Real Madrid sio team ya kujengwa ni team ya matokeo, asije kushangaa akitupiwa virago!!
 
Xabi Alonso hamna kocha humu yaani talent zote hizi anashindwa kuwa solid anapigwa 2 Bernabeu? Bure kabisa
Wale vijana wamemshinda nguvu, ukiniambia sabqbu ya kumwanzisha Alvaro Carreras badala ya Rudiger sielewi, anahangaika na akina Valverde waliochoka anamweka Camavinga bench, hata Ceballos angeweza kucheza vizuri kuliko Bellingham ila ndio hivyo hana uthubutu wa kuamua, ama kuna kupangiana team huko kama Bongo?
 
Hiki kipigo cha leo ni cha kujitakia kiukweli, Alonso ninaona bado hajisomi, Real Madrid sio team ya kujengwa ni team ya matokeo, asije kushangaa akitupiwa virago!!
Xabi Alonso hamna kocha humu yaani talent zote hizi anashindwa kuwa solid anapigwa 2 Bernabeu? Bure kabisa
Tangu jana najiuliza aliwezaje kuchukua ubingwa na Bayaern04 bila kufungwa, nakosa majibu aisee.
 
Back
Top Bottom