Raj kapool
JF-Expert Member
- Jun 29, 2018
- 1,557
- 2,597
Mida hii ndio tunamhitaji brahim diaz awakinbize pale mbele
Kama bundi vileKila unakoweka kambi lazima kuna watu watalia.
Harafu namfatiliaga sana kwenye penalty hua hapigagi huko anapigaga kulia mwa golikipa.Tunaenda extra time sasa, kwa udhamini wa Vinicius Jr
Acha uogaHii game ilikua sare kabisa.... sasa huku tunakoenda ndio hua siangaliagi mpira kabisa..