Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Mbona mkuu Diaz kajitahidi kucheza vizuri tu kwa nafasi yake, waliotuangusha leo ni cama na Tchouameni wameshindwa kulink vizuri na defence, Kuna mda unaona valverde kabisa anapambana mpk anazidiwa no backup
Valverde ametuokoa mara mbili, anajitahidi sana, halafu nindhani ingekuwa poa tukahamishia jiko upande wa Rodrygo, ule upande wa Vini hakuna kitu, Rodrygo na Co wafanye kupika Vini na mwenzie wabaki kutafuta nafasi tu za kufunga,
 
Hapana cama na tchou wameponzwa na alie juu yao.

Diaz kacheza vizuri ila sio kwa nafasi aliyoicheza.

Hivyo alivochexa ilitakiwa acheze forward kule sio eneo la kati

Kiufupi kafanya kazi nje ya misingi yake.

Ko hata ufanye vizuri vipi lazima utaangusha tu watu.
Hawezi kuoffer zaidi ya hapo, na kupita hizi backline za atletico inahitaji kiungo mbunifu otherwise tuendelee kutegemea counter attack tu.
 
Mbona mkuu Diaz kajitahidi kucheza vizuri tu kwa nafasi yake, waliotuangusha leo ni cama na Tchouameni wameshindwa kulink vizuri na defence, Kuna mda unaona valverde kabisa anapambana mpk anazidiwa no backup
Diaz amenikumbusha ule msemo;

Jiwe walilo likataa waashi, limekua jiwe kuu la pembeni.
 
Hàtimae tumewafunga hawa jamaa tumewawinda mda mrefu wanachomokea kwenye sare
Atletico ni wabishi sana, tuliwafunga ila hatukucheza vizuri sana, labda kwenye second leg tutaimarika zaidi ukizingatia kuwa Bellingham atasimama kwenye mid pia, na bahati nzuri sie hatuna kwetu wala kwao, Ninaamani katika Ushindi.
#HalaMadrid
 
Back
Top Bottom