Raj kapool
JF-Expert Member
- Jun 29, 2018
- 1,614
- 2,732
Angemjarubu Guller labdaRodrygo ni mzuri kucheza hapo zaidi ya Brahim, acha tuone kama watakuwa wanapokezana, ila kwa aina ya team kama Atletico, tunahitaji watu wenye akili nyingi sana hapo kati.
Modric hawezi tena mikiki mikiki, so option aliyobaki nayo Mwl ni hiyo tu.