Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Lakini wajameni angalieni tena goli la Vini jr. Huyu mwamba angekuwa na utulivu kichwani kama ule wa Toni Kroos au Marco Asensio angewatandika kila siku. Tatizo huyu kichwani ana utoto sana
 
Lakini wajameni angalieni tena goli la Vini jr. Huyu mwamba angekuwa na utulivu kichwani kama ule wa Toni Kroos au Marco Asensio angewatandika kila siku. Tatizo huyu kichwani ana utoto sana
Ni mchezaji mzuri ana uthubutu, skills na mwepesi sema ndio hivyo hana adabu na waliomzunguka wanamlea sana.

Ilitakiwa awe chini ya kipara Pep au Mourinho angenyooka huyu.
 
Ni mchezaji mzuri ana uthubutu, skills na mwepesi sema ndio hivyo hana adabu na waliomzunguka wanamlea sana.

Ilitakiwa awe chini ya kipara Pep au Mourinho angenyooka huyu.
Ancelloti ni muoga sana kuwakaripia wachezaji wake., yaani hata Zidane tu anamshinda,
Ile game ya juzi tulipata sana shida dakika za jioni kwasababu hatukutumia nafasi tulizozipata vizuri.,
 
Lakini wajameni angalieni tena goli la Vini jr. Huyu mwamba angekuwa na utulivu kichwani kama ule wa Toni Kroos au Marco Asensio angewatandika kila siku. Tatizo huyu kichwani ana utoto sana
Ninatamani kesho apate huo utulivu, maana tunahitaji utulivu wa kila kitu kesho, Cholo ninajua atafanya kila analoweza hata ikibidi nje ya uwanja ili washinde,
 
Back
Top Bottom