Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,787
- 12,063
ICC🏆
😂😂Nyie kenge mpo wazima? Aisee nimekuja kuwakumbusha kuwa mimi ninawachukia mno. Sidhani kama kuna mtu humu duniani anaichukia Real madrid kwa kiwango nilichonacho mimi, Wakitoka CCM na shetani mnafata nyie kwa kuwachukia.
Kwahiyo unasubiri mbelekoTupo dimbani vs Valencia. Papa Perez alitoa msaada wa takribani bilioni tatu za kibongo kwa wa Valencia baada ya janga la DANA.
Mashabiki wa Valencia wamempokea Perez na Madrid kwa vigelegele leo. Tunasubiri uwanjani, watatulia au wataleta ya last season, ubaguzi.
Leo shid tupuVinicius Jr amepewa red card., utoto tu