PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 13,245
- 22,113
Tunashindwa kutumia hizi nafasi za hawa jamaa kufungwa, Atletico ndio ninaona wapo serious.
Ligi imekuwa ngumu msimu timu nyingi zina vijana wazuri. Unajua wachezaji wengi sasa hivi wanakuja kucheza la liga! Wanatukamia kila game mpaka tunaonekana wa kawaida, lakini mechi bado nyingi sana huko mbele tutakaa vizuri tu