Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,703
- 6,359
Kwani si tuna game dhidi ya Liverpool? Subiria vijana wenu watupe hiyo dhahama., ama umehamia Barcelona?Nawashauri refa atakaye chezesha elclassico mumnunue mapema la sivyo Zahama inakuja. Itakuwa ni vilio na kusaga meno.
Naichukia Madrid, ikitoka shetani, ccm na polisi wa tanzania mnafata nyiw kwa kuwachukia.