Nakimbizwa
Senior Member
- Jun 19, 2023
- 154
- 303
Leo Vardrid mmejitahidi
Kumbe tupo wengi🤣🤣🤣🤣Kaka upo kama mimi hawa mbwa siwapendi mnoo, msimu huu wasipoambulia kombe lolote nafanya tafrija fupi hapa nyumbani Kwangu,
Na nitaarika watu nawaambia nasherehekea Uzima na afya njema ila moyoni nitakuwa najua ukweli wa nachosherehekea.
Nilifanikiwa kuangalia kipindi cha kwanza tu jana., kidogo vijana wanaonyesha jitihada., ni kama wanajua walipokwama, so kila mtu anajitahidi ili kumpunguzia Kocha lawama., ila kuna ishu bado inaendelea., tukiwa tunashambulia tunakuwa sana wachache mbele, ama wanachelewa kwenda mbele wakati wa kushambulia, itabidi Mwalimu alifanyie kazi hili suala.Game imeisha tumeua...
Urejeo wa Camavinga unaleta tija pale kati kati.
Tusubiri tu vipimo hapo baadae., ila itakuwa pigo sana, ila kiraka Vazquez yupo atasimamia show.🚨 Fede Valverde: "Matokeo ni jambo muhimu zaidi kwa sasa, tuna wasiwasi sana kuhusu Dani Carvajal."
Toka yule Chizi Ramos alivyotaka kumnyofoa mkono MoSalah hii timu nimetokea kuichukia mnooo
Loyalty, walichofanya Madrid ni same na walichofanya Arsenal kwa ElnenyDani Carvajal ni mpaka msimu ujao tena ndio atarudi Uwanjani, wakati huo huo ame-sign mkataba mpya.
Mimi ninaona Ancelloti ndio anayezungua, huwa ni muoga sana kufanya mabadiliko., jana tulikuwa na viungo Wanne uwanjani ila jamaa walishika dimba, shida ni kuwa hao viungo wote watatu wana uchezaji unaofanana., Modric na Ceballos walivyoingia ndio game ilibadilika, niliona tunacheza mpira mzuri tu unaoeleweka.Siku hizo hatuna game rahis yaan kila game kwetu ningumu asee!!
Mimi ninaona Ancelloti ndio anayezungua, huwa ni muoga sana kufanya mabadiliko., jana tulikuwa na viungo Wanne uwanjani ila jamaa walishika dimba, shida ni kuwa hao viungo wote watatu wana uchezaji unaofanana., Modric na Ceballos walivyoingia ndio game ilibadilika, niliona tunacheza mpira mzuri tu unaoeleweka.
Kama atakuja Kocha mwingine msimu ujao ni lazima afumue midfield yetu.
Ni kweli kabisa, ila wakati wao umepita hatuna budi kukubali hilo, kinachotakiwa sasa ni Mwalimu aumize kichwa ni namna gani atawapanga vijana waliopo tupate matokeo chanya.Ton kroos na Modric walikuwa wanarahisisha sana game kutokana na brain yao hawa watu naona itakuwa ngumu sana kupata replacement yao
Mimi ninaona Ancelloti ndio anayezungua, huwa ni muoga sana kufanya mabadiliko., jana tulikuwa na viungo Wanne uwanjani ila jamaa walishika dimba, shida ni kuwa hao viungo wote watatu wana uchezaji unaofanana., Modric na Ceballos walivyoingia ndio game ilibadilika, niliona tunacheza mpira mzuri tu unaoeleweka.
Kama atakuja Kocha mwingine msimu ujao ni lazima afumue midfield a viungo Wanne sawa ila alibadili mfumo..
Mwanzo tulikua na viungo wanne wa sifa moja ila majukumu yao yalikua tofauti.Mimi ninaona Ancelloti ndio anayezungua, huwa ni muoga sana kufanya mabadiliko., jana tulikuwa na viungo Wanne uwanjani ila jamaa walishika dimba, shida ni kuwa hao viungo wote watatu wana uchezaji unaofanana., Modric na Ceballos walivyoingia ndio game ilibadilika, niliona tunacheza mpira mzuri tu unaoeleweka.
Kama atakuja Kocha mwingine msimu ujao ni lazima afumue midfield yetu.
Mimi ninaona Ancelloti ndio anayezungua, huwa ni muoga sana kufanya mabadiliko., jana tulikuwa na viungo Wanne uwanjani ila jamaa walishika dimba, shida ni kuwa hao viungo wote watatu wana uchezaji unaofanana., Modric na Ceballos walivyoingia ndio game ilibadilika, niliona tunacheza mpira mzuri tu unaoeleweka.
Kama atakuja Kocha mwingine msimu ujao ni lazima afumue midfield yetu.
Valverde kuanzia game inaanza hakuwepo kabisa uwanjani, na Ancelloti ni kama amekariri kuwa Valverde ni lazima acheze., una Ceballos nje na Arda Güler unamforce vipi mtu kucheza wakati unaona kabisa amechoka., halafu ile game hata haikutaka mambo mengi, ila sasa kwa plan ya Kocha akajikuta anaufanya mchezo uwe mgumu.Alicheza
Mwanzo tulikua na viungo wanne wa sifa moja ila majukumu yao yalikua tofauti.
Kipindi cha kwanza Madrid walicheza mfumo wa 3-4-2-1.
Yaani Camavinga na Federico Valverde walisimma kati kati kama 6 na 8.
Miltao alibana kulia huku Vasquez akisogea Eneo la kiungo.
Rudiga alibana kushoto huku Garcia nae akipanda Eneo la kiungo.
Beki ya kati alisimama Aurelian Tchouameni.
Attacking midfielders walisimaa Vini na Jude.
Foward akasimama mbappe.
Lengo lilikua ni kuushika mchezo na kwa Plan hii ilikua nzuri sema haikulipa kwa sababu kuna maeneo waliwekwa watu sio sahihi.
Ndiomana Kipindi cha pili Carlo hakubadili tu wachezaji Bali na mfumo mzima wa uchezaji wa timu kwa ujumla.
Mimi sipendezwi na kuchelewa kwake kufanya mabadiliko tu wakati mapema tu timu inashikwa na Anaona kabisa mchezaji flan kapwaya ila anaacha tu.
Mfano Hii Mechi Federico Valverde alipaswa kupunzika kusubiri El classico kijana katumika sana