Raj kapool
JF-Expert Member
- Jun 29, 2018
- 1,557
- 2,597
Wangekua wachezaji wa kawaida wasingechukua uefa na la liga mzee.wachezaji wa real madrid wengi wao ni hawana huo ubora mkubwa sana wanabebwa na mazingira ya timu zaidi.
vini ndani ya brazil ni kituko, same for rodrygo na militao
camaving ni still bench player France, mendy hata kuitwa national team kwa shida
kwa kifupi wengi wao wana perform their best hapo ndani ya club.
Hebu fikiria Carlo Angekua na kikosi kama cha Barcelona angelitoboa hata top 4 kweli?
Kwa namna Carlo anavyofundisha saivi ukimpa timu kama Barcelona hata top 4 hatoboi.
Kumshusha vin na Rodrigo kisa kuto-perfome national team hilo umenishangaza pia.
mfano Halaand na Lewandowski wanapokuaga bora kwenye club zao hua wanatoa Ubora huo huo kwenye mataifa yao?