Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Nawachukia sana kenge nyie na kwa bayern hamtoboi
Kwa style hii lazima uichukie Madrid, UCL

=>2022/23 Round of 16
Real Madrid CF 1-0 Liverpool
Liverpool FC 2-5 Real Madrid
NB:VVD akalia mpaka kamasi

=>2021/22 Final
Liverpool FC 0-1 Real Madrid
NB:Klopp akawadanganya mfanye booking ya hotel mapema, Uturuki.Badala yake, mkakutana tena na wahuni, tukawalamba

=>2020/21 Quarter-finals
Liverpool FC 0-0 Real Madrid
Real Madrid CF 3-1 Liverpool
NB: Baada ya hii mechi Klopp alisusa kula wiki nzima

=>2017/18 Final
Real Madrid CF 3-1 Liverpool
NB:Tukamvunja na Sis. Sala mkono

=>2014/15 Group B
Real Madrid CF 1-0 Liverpool
Liverpool FC 0-3 Real Madrid
NB:Cristiano Ronaldo standing ovation at Anfield
 
Nothing Personal, Ila Jamaa ni kilaza, na British Media inatumia nguvu nyingi kuaminisha jamaa ni Best Player wa timu kitu ambacho ni kituko, mbaya zaidi kuna wanojiita mashabiki wa Madrid wemeingia kwenye huo mtego
Jude ni beast wewe huwez mwelewa , Ile mechi na city Madrid alienda completely defensively , na dogo alitaabika Sana...mwanzoni mwa Msimu alikuwa kama striker ila sa hv hayo majukumu kapunguziwa ..ndo mana hata kwenye magoli haonekani sana
 
Carlo Mechi aliichelewesha Kwa kumuacha JUDE akizunguka uwanjani bila ya shuhuli yamana alokuwa anafanya, yeye na Vini walitakiwa kuwahi kutolewa mapema sana na hakukua na haja kumtoa rodrygo mapema. Ilisababisha timu izidi kuelemewa.
🗣️ Carlo Ancelotti: “Jude Bellingham has many things I saw in Kaká.”

Huyu Carlo anayesema hivi ni ambaye ameshinda makombe yafuatayo:-

AC MILAN
Serie A: 2003–04
Coppa Italia: 2002–03
Supercoppa Italiana: 2004
UEFA Champions League: 2002–03, 2006–07
UEFA Super Cup: 2003, 2007
FIFA Club World Cup: 2007

CHELSEA
Premier League: 2009–10
FA Cup: 2009–10
FA Community Shield: 2009

PSG
Ligue 1: 2012–13

REAL MADRID
La Liga: 2021–22
Copa del Rey: 2013–14, 2022–23
Supercopa de España: 2021–22
UEFA Champions League: 2013–14, 2021–22
UEFA Super Cup: 2014, 2022
FIFA Club World Cup: 2014, 2022

BAYERN MUNICH
Bundesliga: 2016–17
DFL-Supercup: 2016, 2017

Alafu kuna wewe wa Jamiiforums
 

Ni kawaida kwa makocha wa ulaya kusifu wachezaji wanaowafundisha, Mourinho alikua anasema Drogba ndio best striker in the world, alipofika Inter akabadilisha akawa anasema etoo ndio Best.

Jude na KAKA ni sawa na kulinganisha Bongo na Dubai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…