Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

tujipange tena kwa msimu ujao still anceloti has to go

Madrid needs a new tactical man to fight with pep bila hivo tutaishia hapa hapa na kutegemea miujiza na historia
Ndugu hakuna njia nyingine ya kudeal na guradiola zaidi ya hii , cha msingi tuu uwe na watu wenye ambition na ambao hawakosei , game iliyopita uliona timu ilifunguka na matokeo yake tuliona , ilikuwa ni risk leo kufunguka mana ungepigwa nyingi na uwezo wa kuzirudisha ni unpredictable.... Sema hii mbinu ya kimorinho mourinho lazima mlale na viatu
 
Ndugu hakuna njia nyingine ya kudeal na guradiola zaidi ya hii , cha msingi tuu uwe na watu wenye ambition na ambao hawakosei , game iliyopita uliona timu ilifunguka na matokeo yake tuliona , ilikuwa ni risk leo kufunguka mana ungepigwa nyingi na uwezo wa kuzirudisha ni unpredictable.... Sema hii mbinu ya kimorinho mourinho lazima mlale na viatu
All in all tumevuka tukutane na Bayern sasa
 
dah sema hapo kati tupate mtu anaeweza miliki mpira kama modric na plus madrd inamuhitaj sana mbappe hapo mbele kupambana na watu kama city
Pia upande wa Carvajal ameshachoka tukimpata Trent Alexander itakuwa vizuri alaf mbele pale aongezeke mbappe na kiuongo mnyumbulifu kam Modric tutakuwa tumewin, Safu ya ushambuliaji vijana hawa Rodrygo,Mbappe nawaamin sana uyu Vini anamakuzi sana sometimes
 
Pia upande wa Carvajal ameshachoka tukimpata Trent Alexander itakuwa vizuri alaf mbele pale aongezeke mbappe na kiuongo mnyumbulifu kam Modric tutakuwa tumewin, Safu ya ushambuliaji vijana hawa Rodrygo,Mbappe nawaamin sana uyu Vini anamakuzi sana sometimes
TAA ana miaka mingapi? Upande wa Carvajal tunahitaji mtu kweli wa kumsaidia, japokuwa Vazquez amekuwa akiziba hiyo nafasi vizuri sana.
 
dah sema hapo kati tupate mtu anaeweza miliki mpira kama modric na plus madrd inamuhitaj sana mbappe hapo mbele kupambana na watu kama city
lakin leo Carlo kapigana sana kuziba high line za City kuna mda City walikua wakiwa na mpira unaweza kutabili nin watafanya
Varlvede leo kakaba sana atalalala miguu juu
 
Screenshot_20240418_011010_X.jpg
 
Back
Top Bottom