Umepewa mfano umeleta tena mada[emoji23] chief
hapana, na mimi nimeleta mfano. Real Madrid pana tatizo kubwa sana la ku create nafasi kwa Center forward. Benzema ana cover sana hilo tatizo kwa vile yeye mwenye hua ana involve vizuri kwenye build up. Jovic alifunga magoli matatu ndani ya misimu mitatu akiwa Real Madrid, wakati amefunga 13 msimu huu Fiorentina akiwa na role hiyo hiyo aliyokuwa nayo hapo real ya kuwa backup striker.