Ndio maana inaitwa team alichokua anakifanya benzema sio kwamba alikua anafanya peke yake. Uchezaji wa timu unaweza badirika kulingana na wachezaji, game plan.
Huwezi kua na striker mzuri kwenye header afu timu msitumie mipira ya cross katika kujaribu kuscore.
bila ya kuwa na wachezaji wazuri wakupiga hizo cross ni bure tu, Kumbuka Lukaku akiwa chelsea na anavyocheza akiwa Inter.
chief
BREAKING: The Havertz transfer has COLLAPSED. He's NOT coming. 
