HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 72,935
- 102,690
Kwamba we wajua kuliko Madrid?Bila ya Benzema mambo yatakuwa magumu sana
Kwamba we wajua kuliko Madrid?Bila ya Benzema mambo yatakuwa magumu sana
Kwamba we wajua kuliko Madrid?
Kile kizazi haswa kilichobeba identity ya Los blancos kinaenda kufutika , nadhani waliobakia ni modric na Cruz .Bila ya Benzema mambo yatakuwa magumu sana
Bila ya Benzema mambo yatakuwa magumu sana
Hata wakati anondoka ronaldo yalisemwa sana haya
Bila ya Benzema mambo yatakuwa magumu sana
Mkuu atakuja star yoyote ataondoka hakuna mtu ni zaidi ya timu.
Maisha ya mpira kwa klabu lazima yaendelee
sisemi timu haitaweza kuunga tena, ninachomaanisha ita straggle kwa mda kidogo mpaka itakpokuja kujiweza.
Tatizo ni kuwa kupata replacement yake ni shida sana.
Huwezi pata replacement ya mtu ata wewe hauna replacement.
Ndio maana hujaona club inatafuta karim benzema mwingine, bali wanatafuta mchezaji anayeweza kucheza nafasi aliyekua anacheza benzema. Ambayo ni ushambuliaji
Yah...ila awe namba 10...acheze nyuma ya atayesimama mbele pale,kwa sababu camavinga ana uwezo wakutoa pass makini.We can make camavinga as our striker nex season
Nakumbuka game moja ya UCL tupo madrid na Juve aseee juve walikosa foward wakamweka MATUIDI kama forward wao aseee tulitamani mpira uishe. Kiungo namba 6 akikaa kwa umakini hapo namba 9 unakuwa na mtu na nusu.Yah...ila awe namba 10...acheze nyuma ya atayesimama mbele pale,kwa sababu camavinga ana uwezo wakutoa pass makini.
Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
Yah...ila awe namba 10...acheze nyuma ya atayesimama mbele pale,kwa sababu camavinga ana uwezo wakutoa pass makini.
Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
Sure...nakubaliana na wewe kabisa...Jude ndio ana ufanisi pia nje ya box ndio atacheza hapo. Kai naye akifika pia ana ufanisi mzuri nje ya box. Rodrygo pia ana ufanisi nje ya box.
Shughuli ipo aisee, tusubiri kuona hadi preseasons mambo yatakuaje
kitu ushichokiona pengine ni kuwa, Benzema alikuwa aki offer ndani ya timu zaidi ya ushambuliaji. mchango wake wa ku build up mashambulizi ni mkubwa sana, kitu ambacho kinakosekana kwa washambuliaji wengi wa zama hizi. Mapego mengi ya timu katika ushambuliaji alikuwa akiyaziba, sasa inaibidi timu ijikaze katika kila position kutimza majukumu yake.