Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Ni taaluma kama zilivyo taaluma nyengine, Uwezo wakufahamu nani ni bora nani atafaa nani ata replace vizuri, nani ni mzuri kwa future, nani ni mzuri kwa present.

ndio mana kwenye timu nyingi wanaajiri watu kama ma sport directors kazi yao kubwa ikiwa ni hiyo, na hata wao pia hutafautiana kwa ubora. Chelsea sasa wapo kama vichwa vya wendawazimu sababu wanakosa kabisa mtu kama huyo kwenye timu.

Kumbe unakubali ni ngumu unakubali ni kazi na taaluma ya watu. Sasa iweje unapinga wataaluma walioma jude anafaa, na fran
 
Kumbe unakubali ni ngumu unakubali ni kazi na taaluma ya watu. Sasa iweje unapinga wataaluma walioma jude anafaa, na fran

haimanishi kila wanachoamua ni sahihi, mara mngapi hao wataalamu wanavurunda kwenye vilabu na wanaishia kutimuliwa?
 
Hala Madrid…..
Sijaangalia game za Dortimund ili kutoa comment juu ya ujio wa Jude.

Lakini bei yake ni kubwa na mshahara wake ni mkubwa sana. Inakua ngumu kuamini kama kweli Perez ambae kwa zaidi ya misimu 5 sasa anakwepa spending kubwa kubwa ila RM inatwaa mataji aje abariki utoaji mkubwa hivyo wa pesa (ni betting)

Ninachokiona hapa kuna suala la biashara ambalo linahusika zaidi, R.M wanahitaji mchezaji wa England ili kupenetrate kwenye soko la England.

Ni maoni yangu.
 
Hala Madrid…..
Sijaangalia game za Dortimund ili kutoa comment juu ya ujio wa Jude.

Lakini bei yake ni kubwa na mshahara wake ni mkubwa sana. Inakua ngumu kuamini kama kweli Perez ambae kwa zaidi ya misimu 5 sasa anakwepa spending kubwa kubwa ila RM inatwaa mataji aje abariki utoaji mkubwa hivyo wa pesa (ni betting)

Ninachokiona hapa kuna suala la biashara ambalo linahusika zaidi, R.M wanahitaji mchezaji wa England ili kupenetrate kwenye soko la England.

Ni maoni yangu.

Uko sahihi. Ni desturi pia ya Madrid kufanya summer sign kubwa. Kuvutia audience uwanjani na kufanya mauzo ya jezi.

Kwa kijana wa miaka 19 si mbaya wacha akuje. Sio kila sajili lazima ikupe positive results kuna zingine zina fail. Mfano james, jesse, morata kila akirudi alikua atoi tunachoitaji.
 
Hiki kikosi hapa nyuma naona kabisa kuna uchochoro utapangwa...huyu Nacho..
Screenshot_20230508_220405_Chrome.jpg


Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
 
Hala Madrid…..
Sijaangalia game za Dortimund ili kutoa comment juu ya ujio wa Jude.

Lakini bei yake ni kubwa na mshahara wake ni mkubwa sana. Inakua ngumu kuamini kama kweli Perez ambae kwa zaidi ya misimu 5 sasa anakwepa spending kubwa kubwa ila RM inatwaa mataji aje abariki utoaji mkubwa hivyo wa pesa (ni betting)

Ninachokiona hapa kuna suala la biashara ambalo linahusika zaidi, R.M wanahitaji mchezaji wa England ili kupenetrate kwenye soko la England.

Ni maoni yangu.

wameshejaribu sana hicho kitu na wote wame FLOP, kuanzia Owen, Woodget, Steave, Beckham. ni muendelezo tu.
 
Uko sahihi. Ni desturi pia ya Madrid kufanya summer sign kubwa. Kuvutia audience uwanjani na kufanya mauzo ya jezi.

Kwa kijana wa miaka 19 si mbaya wacha akuje. Sio kila sajili lazima ikupe positive results kuna zingine zina fail. Mfano james, jesse, morata kila akirudi alikua atoi tunachoitaji.

tatizo la real madrid hivi sasa haipo kwenye position ya kufanya big signing halafu ifail, mana timu ina madhaifu mengi sana hiyo hela ni bora itumike kwenye kuziba mashimo yanayoigharimu timu.
 
Mechi ngum sana hii
Leo Mancity nahisi atakuja ni counter,kwa kuwaweka yule KDB na Halland free,na lengo lake ni apate magoli wakat huo huo azuie asifungwe...option ya pili kwake ni yeye kutukabia kuanzia juu huku ambapo lengo ni azuie team buildup ambayo huwa tunafanya..ni game ngumu ambayo mwenye nidhamu ya ukabaji ndio ataibuka kidedea nakujisafishia njia yakwenda fainal.

Kwa uwezo wa mchezaji mmoja mmoja madrid ana advantage kubwa kuliko Man city.

Usumbufu wa Vin na Rodri haswa eneo la box la adui tutapata faida ya either penalts au redcard kwa city.

Wasiwasi mkubwa kwa madrid leo ni ukuta...tumekuwa tunaruhusu magoli walau kila mechi.

Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
 
Tukishinda ni bahati
Tukdroo ni bahati sana
Tukipigwa ni halali
Tunajitoa fahamu tu ila mziki wa Pep tunaujua vizuri dakika 20 za mwanzo tukizuia basi tutakua nafasi nzuri
 
Leo Mancity nahisi atakuja ni counter,kwa kuwaweka yule KDB na Halland free,na lengo lake ni apate magoli wakat huo huo azuie asifungwe...option ya pili kwake ni yeye kutukabia kuanzia juu huku ambapo lengo ni azuie team buildup ambayo huwa tunafanya..ni game ngumu ambayo mwenye nidhamu ya ukabaji ndio ataibuka kidedea nakujisafishia njia yakwenda fainal.

Kwa uwezo wa mchezaji mmoja mmoja madrid ana advantage kubwa kuliko Man city.

Usumbufu wa Vin na Rodri haswa eneo la box la adui tutapata faida ya either penalts au redcard kwa city.

Wasiwasi mkubwa kwa madrid leo ni ukuta...tumekuwa tunaruhusu magoli walau kila mechi.

Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
Sioni red kwa city itakua unaota hakuna beki wanakaba kistaarabu kama wale marasta Ake na Akanji labda enzi za fabinho ila kwa upande wa drid red zipo kuna Njano camavinga,miltao,vini awawezi kosa kadi
 
Leo Mancity nahisi atakuja ni counter,kwa kuwaweka yule KDB na Halland free,na lengo lake ni apate magoli wakat huo huo azuie asifungwe...option ya pili kwake ni yeye kutukabia kuanzia juu huku ambapo lengo ni azuie team buildup ambayo huwa tunafanya..ni game ngumu ambayo mwenye nidhamu ya ukabaji ndio ataibuka kidedea nakujisafishia njia yakwenda fainal.

Kwa uwezo wa mchezaji mmoja mmoja madrid ana advantage kubwa kuliko Man city.

Usumbufu wa Vin na Rodri haswa eneo la box la adui tutapata faida ya either penalts au redcard kwa city.

Wasiwasi mkubwa kwa madrid leo ni ukuta...tumekuwa tunaruhusu magoli walau kila mechi.

Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
Kadi labda tuzizoe sisi, ukuta wetu una matobo kinoma, kwa strikers wenye nguvu kama hawa wa city ni mtihani sana.
 
Back
Top Bottom