Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,020
- 22,078
Siku hizi hatusajiri kabisa nadhani project ya uwanja imelazimu kubana budget
Uwanja ule bosi hauusiani na usajiri. Tunajenga kwa mkopo bodi ilimpa idhini perez kufanya hivyo. Tangu tufanye usajili ghari wa hazard then tchouameni hatujafanya sajili kubwa zaidi.
Kibunda kipo tunafukuza tuu talent. Soko la usajili lishakua gumu. Maana wachezaji wa kawaida ukigusa unaacha 100.
Ndio maana ata yule dogo wa dortmund Madrid wamesema hadi atangulize tamanio la kucheza madrid ndio wao wafuate kujazia mzigo
