ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 16,286
- 31,675
Hii timu imekuaje tuna struggle hadi kwa Al Ahly!
Siku hizi hatusajiri kabisa nadhani project ya uwanja imelazimu kubana budgetHawa wazee wetu tuwavumilie tuu. Ila sidhani kama watapewa ongezeko la mkataba. Perez anaamini ni wakati sahihi wa kuweka vijana kikosini ili kiendelee kuzoeana