Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,703
- 6,360
Club yetu imeshakuwa na walimu wengi sana, so suala la kukumbukana kwetu halipo, sie tunasonga mbele tuHuyu ancelloti huyu mtamkumbuka Zidane.
Club yetu imeshakuwa na walimu wengi sana, so suala la kukumbukana kwetu halipo, sie tunasonga mbele tuHuyu ancelloti huyu mtamkumbuka Zidane.
Kuja kubeba Tena UEFA labda mnunue lakini kwa uwanjani utachukua miaka Kama 10 hivi.Sawa zile tatu mfululizo zinatutosha sana tupumzike kwanza tukirud kama kawaida yetu mtakuwa mnaisoma namba tu
Sie hatuna shida na hilo, kwani unadhani ilituchukua miaka mingapi mpaka kuja kuchukua kombe namba 10? Ila jua tukianza kutukianza kuchukua tena ni mpaka muombe poo., kwanza mna kazi ya kuvunja record zetu, kwanza mchukue mara 3 mfululizo ama kujaribu tu kutetea kombe lenu msimu ujao kisha mchukue vikombe vingi mpaka mtufikie.Kuja kubeba Tena UEFA labda mnunue lakini kwa uwanjani utachukua miaka Kama 10 hivi.
Kuja kubeba Tena UEFA labda mnunue lakini kwa uwanjani utachukua miaka Kama 10 hivi.
Hahaha, ataona wapi Mzee, hii ni mara ya pili wamechukua kwanza kwa tofauti ya miaka 10 toka wachukue taji la kwanza, halafu anakuja kututambia si unaweza kuonekana kituko?Miaka 10 sio ajabu huoni kunatimu toka zianzishwe miaka hiyo zimebeba mara 2 tu.
Achaneni na hawa wazee wa kuotea.. Msijeshangaa msimu ujao wakapoteana kama kawaida yao...Hahaha, ataona wapi Mzee, hii ni mara ya pili wamechukua kwanza kwa tofauti ya miaka 10 toka wachukue taji la kwanza, halafu anakuja kututambia si unaweza kuonekana kituko?
Anaenda wapi? Anaongeza mwaka mmojaCaptain Ramos anaondoka.
Those golden days
Ilikua aondoke, ila kakubali mkataba wa mwaka mmoja. Mwanzoni alikua anakomaa apewe miaka mitatu.Anaenda wapi? Anaongeza mwaka mmoja
Muongo mkubwa wewe!!Ilikua aondoke, ila kakubali mkataba wa mwaka mmoja. Mwanzoni alikua anakomaa apewe miaka mitatu.
Cheki ulivo liongo!!Anaenda wapi? Anaongeza mwaka mmoja
Tatizo lako unakurupuka, umesikia maelezo aliyotoa??Muongo mkubwa wewe!!