PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 13,264
- 22,145
Game ya jana ilikua Rugby
Zidane kumanina zake inabidi awape kina Mariano, hii imekuwa too much sasa
Game ya jana ilikua Rugby
Varane anatoa sana bokoNaona kwenye kikosi kinacho anza leo kwenye CB line tuna Varane na Nacho, Ramos hayupo ila kwenye sub kuna Milito
Kwanini Zidane hampangi Militao?
Tushaimaliza hii mechiSasa hivi jamaa wanatupigia mpira sijui kama tutamaliza salama na goli letu moja
Shabiki yyt wa real madrid lazima ataona jinsi nacho anavyokuwa mzito na haendani na kasi ya mchezo na mara nyingi anafanya makosa. Ila kwa jicho la tatu nacho anacheza namba zoote za ulizi kasoro goalkeeping, nacho anapiga full backs ta kulia na kushoto, central back 4 na 5 anaweza kupiga. Defensive mildfield 6 anapiga. Kiufupi nacho ni KIRAKA.Huyu Nacho sijui kwa nn huwa anapangwa huyu
Kwa hiyo kwa mara ya kwanza kuna uwezekano wa sisi kucheza game za ulaya za alhamisi
Nabii bullar umetishaHaitokaa itokee game ya mwisho tunampiga mjerumani tuna kaa on top ila maisha ya mbele huko sijui kama tuta survive
Shabiki yyt wa real madrid lazima ataona jinsi nacho anavyokuwa mzito na haendani na kasi ya mchezo na mara nyingi anafanya makosa. Ila kwa jicho la tatu nacho anacheza namba zoote za ulizi kasoro goalkeeping, nacho anapiga full backs ta kulia na kushoto, central back 4 na 5 anaweza kupiga. Defensive mildfield 6 anapiga. Kiufupi nacho ni KIRAKA.
Kila nikitamani auzwe najikuta nacho namkuta yupo pale pale benchi. Naamin ipo siku akistaafu soka la kulipwa atarudi kama mmoja wapo wa technical directors wa los blancos. Miaka aliokaa hapo inatosha dei uno kurudi.
David Alaba anatarajiwa kujiunga na R.Madrid kwa mkataba wa miaka 4.
Ujio wa Alaba ni dalili kwamba Ramos ataondoka kwenda PSG mwisho wa msimu?
Mikataba ya Modric na Lucas V imebakiza miezi 6 kila mmoja.
Ramos bado tunamuhitaji sana, lakini kama anataka akapige pesa za Waarabu kabla ya kustaafu, good luck. Kwasababu ni maisha yake, sisi ni mashabiki tu
Alaba bonge la signDavid Alaba anatarajiwa kujiunga na R.Madrid kwa mkataba wa miaka 4.
Ujio wa Alaba ni dalili kwamba Ramos ataondoka kwenda PSG mwisho wa msimu?
Mikataba ya Modric na Lucas V imebakiza miezi 6 kila mmoja.
Alaba bonge la sign