Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Msimu huu tume anzia chini ndio maana imekua hivyo kumbuka huwez kuwa number 1 milele , Hazard na Asensio wakirudi tuta kaa poa japo ni kweli tuna hitaji striker wa kumu challenge Benzema mwenye caliber ya Filimino, Mbappe au Aubamiyang

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbappe naona anakuja washaanza kugombana na kocha wake huko Au Aubamiyang ngoja tuone lakini itakapo fika summer.
 
Msimu huu tume anzia chini ndio maana imekua hivyo kumbuka huwez kuwa number 1 milele , Hazard na Asensio wakirudi tuta kaa poa japo ni kweli tuna hitaji striker wa kumu challenge Benzema mwenye caliber ya Filimino, Mbappe au Aubamiyang

Sent using Jamii Forums mobile app

Real madrid ikaongozwe na foward anaetokea Arsenal ambayo hata Champion league wameshasau wameshiriki lini ? acha masihara yenu hayo
 
Kuwa 5 times Champion sio issue kwahiyo kigezo hiko Benzema ni bora kuliko Dilma kwakua ajachukua uefa champion?

Katika dunia ya sasa Harry Kane ni moja wa maforward hatari hilo halipingiki kama ww unazani ni overrated basi kazi zake utakuwa huzioni nje ndani katufunga last season champions league.

Uhatari wa aina gani mkuu labda tusaidie
 
Labda kma unaongea kishabiki na kubishana lkn in reality Aubamiang mchezaji wa level kubwa bahati mbaya yupo team mbovu

Sent using Jamii Forums mobile app

Auba hana uwezo wakuwa striker wa timu kama Barca au Real madrid.

SIku barca au real wakiwa na forward kama auba ndipo watakapoishia kugomeba nafasi ya 4 badala ya kugombea ubingwa.
Kama vile Man utd inavoishia kugombea nafasi za 4 na 5 kutokana na kuwa forward kama Rashford ndio tegemeo lao.
 
Labda kma unaongea kishabiki na kubishana lkn in reality Aubamiang mchezaji wa level kubwa bahati mbaya yupo team mbovu

Sent using Jamii Forums mobile app

Level kubwa ndio, ila Madrid ni level ingine. Btw, jamaa aliomba sana kuichezea Madrid wakati akiwa Dortmund, club ikakausha. Hana kiwango wala profile ya kuvaa uzi mweupe.
 
Kwahio Mariano Diaz ni bora kuliko Auba?

Sent using Jamii Forums mobile app


Mariano Diaz is one of our own. He scored a lot of goals with Castilla before he got promoted.

Hii timu we iache hivihivi. Combo ya Zidane na Florentino Perez hamtakaa mje kuisahau. Yaani ni mwendo wa silverware mpaka mtakubali
 
Mariano Diaz is one of our own. He scored a lot of goals with Castilla before he got promoted.

Hii timu we iache hivihivi. Combo ya Zidane na Florentino Perez hamtakaa mje kuisahau. Yaani ni mwendo wa silverware mpaka mtakubali
"Zidane is a gift from heaven above "Florentine Perez, wakati watu wakisema ohh zidane amejiaribia kurudi Madrid,hana jipya,alibebwa na CR7 na miguu ya saint Mondric ,sasa ivi watu kimyaa kila kukicha team inazidi kuwa chuma cha Reli team inakoelekea ni kupigisha kwata kiroho mbaya .
 
Huo ndio ukweli , sasa hivi Benzema ana beba mzigo mzito sana ikitokea amekabwa au ana injury tuna struggle sana , tuna hitaji mtu mature wa kusaidiana na Benzema sio hawa watoto kina Vunisius Jr

Sent using Jamii Forums mobile app


Mkuu Vinincius Jr is lacking the finishing touch tu. lakini kama umeangalia vizuri game za Real Madrid akitokea upande huu wa kushoto, Benzema anachotakiwa ni kuwakataa mabeki tu goli linakuja anytime. To be honest, the guy can dribble than anybody in the squad (labda Marcelo). Na sasa hivi naona wanaelewana na Mendy vizuri tu. Sasa hivi ndio najua kwanini Perez alikataa kubadilishana na Neymar.
 
Back
Top Bottom