Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,923
- 27,157
Hahahah Mariano Diaz hana hata kiwango cha kuchezea Granada. Madrid is full of overrated rookies........ Asensio,Vazquez,James,Reguilon,Ordiozola,Nacho,Vinicius hao wote ni bar average ila wanakuwa exaggerated kisa wako Madrid.Mariano Diaz is one of our own. He scored a lot of goals with Castilla before he got promoted.
Hii timu we iache hivihivi. Combo ya Zidane na Florentino Perez hamtakaa mje kuisahau. Yaani ni mwendo wa silverware mpaka mtakubali
Zidane sio kocha alibebwa na Ronaldo tu, ila siku akienda fundisha sijui Man Utd ndio utamuona alivvyo mbovu kwenye strategy."Zidane is a gift from heaven above "Florentine Perez, wakati watu wakisema ohh zidane amejiaribia kurudi Madrid,hana jipya,alibebwa na CR7 na miguu ya saint Mondric ,sasa ivi watu kimyaa kila kukicha team inazidi kuwa chuma cha Reli team inakoelekea ni kupigisha kwata kiroho mbaya .
Hahahah Mariano Diaz hana hata kiwango cha kuchezea Granada. Madrid is full of overrated rookies........ Asensio,Vazquez,James,Reguilon,Ordiozola,Nacho,Vinicius hao wote ni bar average ila wanakuwa exaggerated kisa wako Madrid.
Silverware mlibeba sababu ya Ronaldo factor basi ila timu haina lolote la maana zaidi ya shear luck na kubebwa tu. Toka Ronaldo asepe mmekuwa back to square one.
La Liga msahau inaenda camp nou tena na UCL sioni mkimtoa Guardiola kiufupi Madrid imeshakufa na itazikwa rasmi Etihad.
Ntarudi baada ya 2nd leg humu
Nothing new here, maneno kama hayo mnarudia kila msimu. Anyway, losing is a part of the game, but don't tell me that Guadiola is just going to walk over Real Madrid. Hayo ni maneno ya kishabiki, nitakutag hii post baada ya mwezi mmoja.
Kuna raia wapo kwa ajili ya kubishana tu, na mara nyingi huibuka pindi tu team inapofungwa, hii ina maana kwamba ili mambo yake yaende ama utabiri wake ufanikiwe anategemea team husika kufanya vibaya, so watu wa aina hiyo ni kuwapotezea tu.
Mtu wa hivyo hata kumwelewesha hawezi kukubali sababu kwake hiyo ni starehe!!
Auba ni mchezaji mzuri.. naamini angekuja Madrid angetusaidia sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nothing new here, maneno kama hayo mnarudia kila msimu. Anyway, losing is a part of the game, but don't tell me that Guadiola is just going to walk over Real Madrid. Hayo ni maneno ya kishabiki, nitakutag hii post baada ya mwezi mmoja.
Ushabiki gani mkuu?? Tuwe wakweli ni trophy gani mmeshinda (Tukiachana na bonanza la uarabuni) toka Ronaldo aondoke??
Barca na Madrid mmebebwa sana na kutembelea nyota za messi na ronaldo ila sahvi mmekuwa back to square one ndio maana la liga imeshuka kiwango kabisa.
Pole yenu mumlete mbappe ila kile kiburi cha kusema eti '-we don't need to replace Ronaldo'' ndio kinawacost sasa.
Mnaongoza kwa record lowest points sababu tu Barca na Atletico wote wabovu ila sio sababu ya consitency. But ligi itaenda Camp Nou na ww unafahamu hilo kiufupi ni trophyless season nyingine hii.Mkuu vipi una kichaa? Real madrid wnaongoza ligi hivi sasa wewe ulikua unataka lipi jengine?
Mnaongoza kwa record lowest points sababu tu Barca na Atletico wote wabovu ila sio sababu ya consitency. But ligi itaenda Camp Nou na ww unafahamu hilo kiufupi ni trophyless season nyingine hii.
Ntafukua hii post baada ya Madridiots kung'olewa na Man City
#AupaAtleti #LosColchoneros
Mnaongoza kwa record lowest points sababu tu Barca na Atletico wote wabovu ila sio sababu ya consitency. But ligi itaenda Camp Nou na ww unafahamu hilo kiufupi ni trophyless season nyingine hii.
Ntafukua hii post baada ya Madridiots kung'olewa na Man City
#AupaAtleti #LosColchoneros
Ushabiki gani mkuu?? Tuwe wakweli ni trophy gani mmeshinda (Tukiachana na bonanza la uarabuni) toka Ronaldo aondoke??
Barca na Madrid mmebebwa sana na kutembelea nyota za messi na ronaldo ila sahvi mmekuwa back to square one ndio maana la liga imeshuka kiwango kabisa.
Pole yenu mumlete mbappe ila kile kiburi cha kusema eti '-we don't need to replace Ronaldo'' ndio kinawacost sasa.