Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
- Thread starter
- #43,301
This was Real Madrid's 9th game in a row unbeaten.
Point 3 muhimu, japokuwa team haijacheza vizur, Mendy bado sana, hana tofauti na mwenzie Vinicius Jr, pass za mwisho kwao bado ni shida ama wakifika ndani ya 18 hawajui nini cha kufanya!!
Yaani kwa Mendy ninaona kama club ilifanya kosa kama la kumtoa Hakimi kwa mkopo na kumnunua Ordiozola, sijaona tofauti kubwa kati yake na Reguillon, labda physic tu!! Ngoja tuendelee kuvuta subira labda atabadilika huko.mbeleniMendy atasaidia tu hivyohivyo, maana kupata wachezaji kama Marcelo inatokeaga tu. Inasikitisha sana kuona umri unamtupa mkono na ndio sababu injuries zinamuandama.
Official Real Madrid XI 🆚 Club Brugge
🧤 Areola
🛡 Odriozola, Varane, Militão, Mendy.
💠 Casemiro, Modrić, Isco.
🚀 Rodrygo, Vinícius Júnior, Jović.
Bench: Courtois, Carvajal, Nacho, Valverde, Brahim, Bale, Benzema.
#HalaMadrid
Ni vizur ili tukifika ule wakati kila baada ya siku 3 tunacheza tuwe na imani na team.hata wakipangwa hawa vijana!!Naona Zidane anatest mitambo.
Hivi James bado yupo injury?? siamin km anashindwa kuanza game km hii